Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Ijumaa, 10 Novemba 2017

DKT. MPOKI AZINDUA VITINI VYA MAFUNZO YA JUU YA LISHE BORA KATIKA JAMII.

Katibu  Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto  Dkt. Mpoki Ulisubisya akiongea na wadau mbalimbali wa maswala ya lishe hawapo pichani wakati wa uzinduzi  wa vitini vya mafunzo juu ya lishe bora katika jamii yetu vilivyoandaliwa na Kanda ya mashariki ya kati na kusini  inayojihusisha na maswala ya afya (ECSA).





Katibu  Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto  Dkt. Mpoki Ulisubisya kushoto akimkabidhi Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya chakula na Lishe (TFNC) Dkt. Vincent Assey wa kwanza kulia wakati wa uzinduzi  wa hivyo vilivyoandaliwa na Kanda ya mashariki ya kati na kusini  inayojihusisha na maswala ya afya (ECSA).









 Katibu  Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto  Dkt. Mpoki Ulisubisya kulia akikata keki kuashiria kuzindua  vitini vya mafunzo juu ya lishe bora katika jamii yetu vilivyoandaliwa na Kanda ya mashariki ya kati na kusini  inayojihusisha na maswala ya afya (ECSA) wakati wa uzinduzi huo uliofanyika leo jijini Dar es salaam, wa kwanza kulia ni Afisa msaidizi wa ECSA Bi. Dorin Marandu.






Meneja wa  Magonjwa yasioambukiza ,Usalama wa Chakula na lishe na Kanda ya mashariki ya kati na kusini  inayojihusisha na maswala ya afya (ECSA)  Bi. Rosemary Mwaisaka  akiongea wadau mbalimbali wa maswala ya lishe hawapo pichani wakati wa uzinduzi  wa vitini vya mafunzo juu ya lishe bora katika jamii yetu vilivyoandaliwa na Taasisi hiyo.




Katibu  Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto  Dkt. Mpoki Ulisubisya kulia akimlisha keki mmoja wa washiriki na mtoa huduma wa lishe ngazi ya jamii Bi. Evelyne Minja wa pili kushoto wakati wa uzinduzi huo uliofanyika leo jijini Dar es salaam.

0 on: "DKT. MPOKI AZINDUA VITINI VYA MAFUNZO YA JUU YA LISHE BORA KATIKA JAMII."