Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumapili, 19 Novemba 2017

SIKU YA MATUMIZI YA CHOO DUNIANI, LEO NOVEMBA 19, 201


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO

TAARIFA KWA UMMA
SIKU YA MATUMIZI YA CHOO DUNIANI, LEO NOVEMBA 19, 2017

Tanzania yetu na Vyoo Bora. Bado tunayo kazi kubwa ya kufanya:-
Kaya zenye vyoo bora ni 40% tu. Kaya zenye vifaa maalum (sabuni + maji) vya kunawa mikono ni 34% tu.
Kati ya shule za Msingi (16,088) zenye vyoo bora ni 28% tu. Choo bora kwa kila mtu, kila mahali inawezekana.  
Wilaya ya Njombe, zaidi ya asilimia 95% ya Kaya zina vyoo bora na sehemu maalum za kunawia mikono.
Tujenge na kutumia ChooBora.

Imetolewa na,

Ummy Mwalimu (MB),
Waziri wa Afya,
19 Nov. 2017
Dodoma.

0 on: "SIKU YA MATUMIZI YA CHOO DUNIANI, LEO NOVEMBA 19, 201"