Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumamosi, 11 Novemba 2017

WATANZANIA WAASWA KUFANYA MAZOEZI KUEPUKA UGONJWA WA KISUKARI. NA WAMJW-DA ES SALAAM.N



Na WAMJWW

WATANZANIA waaswakujihusishanatabia ya kupendakufanyamazoeziilikuepukaugonjwawakisukarinaviashiriavyakekatikajamiiyetuinayotuzunguka.

HayoyamesemwanaMkurugenziwaKinga Wizara ya afya Dkt. NeemaRusibamayilaalipomwakilshaWaziriwa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia ,WazeenaWatotoMhe. UmmyMwalimuwakatiwakuadhimishasiku ya Kisukaridunianileojijini Dar es salaam.

Watanzaniatunatakiwakupendakujijengeatabia ya kufanyamazoezimarakwamarailikuwezakuepukamagonjwayasioambukizaikiwemoKisukarinaviashiriavyakekwaujumla” alisemaDkt. Rusibamayila.

AidhaDkt. Rusibamayilaamesemakuwawatanzaniawengihawanabudikujikinganaugonjwahuokwaniasilimia 60 wanafarikikwaugonjwahuodunianikilamwaka.

KwamujibuWaDkt. Rusibamayilaamesemakuwaasilimiakubwa ya wanawakenchiniwanauzitomkubwa,mafutamenginahawajihusishinamazoezihivyohupelekeakupatahatharizaugonjwawakisukari.

MbalinahayoDkt. Rusibamayilaamesemakuwalichatu ya kufanyamazoezilakinipiawanatakiwakuepukamatumizi ya vileokama vile uvutajitumbaku,unywajipombenauvutajiwa shisha ilikuepukamagonjwayasioambukizakwaniyamekuwahatarikwawatanzania.

Kwaupande wake KaimuMkurugenziwaKituo cha chakulanaLishe (TFNC) Dkt. VicentAsseyamesemakuwasambambanakufanyamazoeziwatanzaniawanatakiwakuzingatiamloulio bora ilikuepukaugonjwawakisukari.

AidhaDktAsseyamesisitizawalimu , wazazinawatoahudumangazi ya jamaiiwanatakiwakuwakipaumbelekatikakuelimishawatotonajamiinzimakwaujumlajuu ya lishe bora ambayohuletakingazidi ya kisukari.

Siku ya kisukariDunianihuadhimshwaNovemba 14 kilamwakanamwakahuuimeadhimishwasambambanamatembezi ya hiarinamazoezi ya pamojakutokaviwanjavyamuhimbilimpkaMnazimmojanakubebaKaulimbiuisemayo “MWANAMKE NA KISUKARI “ikimaanishawanawakewawemstariwambelekatikakupambananaugonjwahuo.


0 on: "WATANZANIA WAASWA KUFANYA MAZOEZI KUEPUKA UGONJWA WA KISUKARI. NA WAMJW-DA ES SALAAM.N"