Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumatatu, 13 Novemba 2017

WIZARA YA AFYA YAPOKEA UGENI KUTOKA CHINA KUHUSU MASUALA YA TIBA ASILI.

Picha ya Ugeni wa viongozi wa Tiba Asili kutoka China wakiwa katika kikao na viongozi wa Wizara ya Afya kilichoongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Mpoki Ulisubisya mapema leo jijini Dar es salaam.








Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya akisisitiza jambo mbele ya jopo la Viongozi wa Tiba Asili kutoka China (hawapo katika picha) waliowasili nchini Novemba 12 lengo likiwa ni kuikuza Sekta ya Afya nchini kulia ni Mkurugenzi msaidizi,idara ya ushirikiano wa kimataifa wa masuala ya Tiba Asili nchini China, Mr Wu Zhendou.



Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi msaidizi,Idara ya ushirikiano wa kimataifa wa masuala ya Tiba Asili nchini China Mr Wu Zhendou.







Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya akionesha zawadi aliyopokea kutoka kwa Uongozi wa Tiba Asili nchini Chini, wa kwanza kushoto ni Mr. Liu Qunfeng, wa pili ni Mkurugenzi msaidizi,Idara ya ushirikiano wa kimataifa wa masuala ya Tiba Asili nchini China Mr Wu Zhendou na wa mwisho ni Mganga Mkuu wa Serikali  Prof. Bakar Kambi.





Picha ya pamoja ikiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya muda baada ya kuupokea ugeni kutoka nchi ya China katika masuala ya Tiba Asili, mapema leo katika Ofisi ndogo za Wizara ya Afya, Jijini Dar es salaam.

0 on: "WIZARA YA AFYA YAPOKEA UGENI KUTOKA CHINA KUHUSU MASUALA YA TIBA ASILI."