Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumanne, 7 Novemba 2017

WIZARA YA AFYA YAWAAGA MADAKTARI 25 KUTOKA CHINA WALIODUMU NCHINI KWA MIAKA 2.

Mkurugenzi wa Tiba Dkt. Dorothy Gwajima akieleza jambo mbele ya jopo la Madaktari kutoka China na watumishi kutoka Idara kuu ya Afya (Hawapo katiaka picha) wakati wa kikao cha cha kuwaaga madaktari 25 kutoka China waliotumikia nchini Tanzania katika sekta hiyo.







Barozi wa PRC Mh. Ms Wang Ke akisisitiza jambo mbele ya jopo la madaktari kutoka China (Hawapo katiaka picha) wa kikao cha cha kuwaaga madaktari 25 kutoka China waliotumikia nchini Tanzania katika Sekta ya  Afya  kwa miaka 2, wakwanza  kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mohamed Mohamed na  wa mwisho ni kiongozi wa madaktari kutoka China Dkt. Zhu Jian.


Jopo la madaktari kutoka China wakifuatilia taarifa fupi kutoka kwa Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mohamed Mohamed wakati wa kikao cha cha kuwaaga madaktari 25 kutoka China waliotumikia nchini Tanzania katika Sekta ya Afya  kwa miaka 2.






 Baadhi ya Watumishi wa Serikali Idara kuu ya Afya wakiwa katika kikao cha kuwaaga madaktari 25 kutoka China waliotumikia nchini Tanzania katika Sekta ya Afya  kwa miaka 2, kilichoongozwa na Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mohamed Mohamed mapema leo katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es salaam.




Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mohamed Mohamed, akimkabidhi  zawadi kiongozi wa madaktari kutoka China Dkt. Zhu Jian kama ishara ya shukurani kwa mchango waliouonesha katika Sekta ya Afya nchini Tanzania,  Upande  wa kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Tiba Dkt. Dorothy Gwajima.





Picha ya pamoja ikiongozwa na Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mohamed Mohamed, wakati wa kikao cha cha kuwaaga madaktari 25 kutoka China waliotumikia nchini Tanzania katika sekta ya Afya  kwa miaka 2, kikao icho kimefanyika mapema leo katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es salaam.

0 on: "WIZARA YA AFYA YAWAAGA MADAKTARI 25 KUTOKA CHINA WALIODUMU NCHINI KWA MIAKA 2."