Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumatano, 28 Machi 2018

WAZIRI UMMY AKUTANA NA UGENI KUTOKA WHO.




Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akutana na ugeni kutoka WHO mapema leo katika ofisi ndogo za Wizara ya Afya jijini Dar es salaam,

Lengo la ugeni huo lilikuwa ni kujadili changamoto za Sekta ya Afya na namna ya kuimarisha Sekta hiyo nchini hususani katika kupunguza vifo vya mama na mtoto, namna ya kukabiliana na magonjwa ya mlipuko, ushirikiano katika huduma za kibigwa na suala la Bima ya Afya kwa wote.

Nae mwakilishi kutoka WHO Dkt. Adiele Onyeze ameishukuru Serikali ya Awamu ya tano kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa juhudi wanazofanya za kuimarisha Sekta hiyo hasa katika mapambano ya kupunguza vifo vya mama na mtoto.


0 on: "WAZIRI UMMY AKUTANA NA UGENI KUTOKA WHO."