Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumatano, 30 Mei 2018

PICHA ZA MATUKIO YA ZIARA YA DKT. NDUGULILE KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA.

Naibu Waziri wa Afya,  Maendeleo ya Jamii,  Jinsia, Wazee na Watoto Dkt.  Faustine Ndugulile (Wapili kulia) akikagua miundombinu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma mapema leo.


Naibu Waziri wa Afya,  Maendeleo ya Jamii,  Jinsia, Wazee na Watoto Dkt.  Faustine Ndugulile (wakwanza kushoto) akimjulia hali mmoja kati ya wagonjwa katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma mapema leo,  kulia kwake ni Mganga Mfawaidhi wa Hospitali hiyo Dkt.  Caroline Damian.

Naibu Waziri wa Afya,  Maendeleo ya Jamii,  Jinsia, Wazee na Watoto Dkt.  Faustine Ndugulile akikagua cheti cha dawa cha mmoja ya wagonjwa waliofika kupata dawa katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma wakati alipofanya ziara katika hospitali hiyo.

Naibu Waziri wa Afya,  Maendeleo ya Jamii,  Jinsia, Wazee na Watoto Dkt.  Faustine Ndugulile akiongea na wagonjwa walio katika foleni ya kusubiri kupata huduma za Afya pindi alipofanya ziara mapema leo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma.

Naibu Waziri wa Afya,  Maendeleo ya Jamii,  Jinsia, Wazee na Watoto Dkt.  Faustine Ndugulile akipata maelekezo katika chumba cha utengenezaji wa miguu bandia katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma mapema leo.

Picha ya Pamoja ikiongozwa na Naibu Waziri wa Afya,  Maendeleo ya Jamii,  Jinsia, Wazee na Watoto Dkt.  Faustine Ndugulileakiwa na watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma wakati alipofanya ziara mapema leo.

0 on: "PICHA ZA MATUKIO YA ZIARA YA DKT. NDUGULILE KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA."