Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Ijumaa, 20 Julai 2018

ZIARA YA WAZIRI UMMY KUJUA HALI YA UTOAJI HUDUMA ZA AFYA URAMBO TABORA

Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wa pili kulia akikata utepe kuashiria kuweka jiwe la msingi kwenye jengo la wodi ya wazazi lilitokana na mpango wa malipo kwa ufanisi katika Zahanati ya Itebulanda wilayani Urambo Mkoani Tabora wakati wa ziara yake mkoani humo,wa kwanza kulia ni Mbunge wa Jimbo la Urambo Bi. Magreth Sitta.

Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu katikakati akikata utepe kuashiria kuzindua rasmi kitabu cha mpango wa malipo kwa ufanisi katika Zahanati ya Vumilia Wilayani Urambo Mkoa wa Tabora wakati wa ziara yake mkoani humo

Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu katikakati akionesha kitabu cha mpango wa malipo kwa ufanisi pamoja na watumishi wengine wa sekta ya afya  katika vituo vya fya mara baada ya uzinduzi huo uliofanyika  katika Zahanati ya Vumilia Wilayani Urambo Mkoa wa Tabora wakati wa ziara yake mkoani humo wa tatu kushoto ni mkuu wa Wilaya ya Urambo Bi. Angelina Kwinga,.

Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu kulia akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Urambo Bi. Angelina Kwinga kushoto kitabu cha muongozo wa mpango wa malipo kwa ufanisi  mara baada ya uzinduzi huo uliofanyika  katika Zahanati ya Vumilia Wilayani Urambo Mkoa wa Tabora wakati wa ziara yake mkoani humo.

Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu kulia akifunua pazia kuashiria  kuashiria kuweka jiwe la msingi kwenye jengo la upasuaji katika Zahanati ya Uyogo wilayani Urambo Mkoani Tabora wakati wa ziara yake mkoani humo,kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Urambo Bi. Magreth Sitta.

Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akitembelea maeneo ya Zahanati ya Uyogo wilayani Urambo Mkoani Tabora wakati wa ziara yake mkoani humo.

PICHA NA WAMJW-TABORA

0 on: "ZIARA YA WAZIRI UMMY KUJUA HALI YA UTOAJI HUDUMA ZA AFYA URAMBO TABORA"