Pages
(Hamishia kwenye ...)
Home
▼
Jumatano, 11 Januari 2023
SERIKALI ITAENDELEA KUTOA KIPAUMBELE KWA WAZALISHAJI WA DAWA NA VIFAA TIBA WA HAPA NCHINI
›
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu akisema jambo kwenye kikao kilichowakutanisha Wazalishaji na Wasambazaji bidhaa za afya (hawapo pichani) pa...
Maoni 1 :
Jumanne, 6 Desemba 2022
TANZANIA NA COMORO KUIMARISHA ZAIDI USHIRIKIANO KWENYE SEKTA YA AFYA
›
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi (kulia) akimkabidhi zawadi Balozi wa Comoro Nchini Tanzania Dkt. Ahamada El Badaoui mara baada...
Maoni 1 :
Jumatano, 17 Agosti 2022
WAZIRI UMMY MWALIMU AWAKARIBISHA WAWEKEZAJI KUTOKA INDIA NA FALME ZA KIARABU KUWEKEZA KWENYE SEKTA YA AFYA NCHINI
›
Na Englibert Kayombo WAF, Dar Es Salaam. Waziri wa Afya Mhe.Ummy Mwalimu leo amekutana na kufanya mazungumzo na Wawekezaji kutoka I...
Alhamisi, 4 Agosti 2022
ENDELEENI KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI-DKT. SICHALWE
›
Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Aifello Sichalwe alipotembelea Hospitali Misheni ya Haydom iliyoko Mkoani Manyara kujionea hali ya utoaji wa hu...
SERIKALI KUJA NA MIKATABA YA KUPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA MTOTO.
›
Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Aifello Sichalwe akiongea katika kikao cha Wadau wa Sekta ya Afya kwenye eneo la mama na mtoto pamoja na Lishe ...
Maoni 1 :
Jumamosi, 25 Juni 2022
BILIONI 4.4 ZATOLEWA NA SERIKALI KUBORESHA HUDUMA ZA RADIOLOJIA NA UZALISHAJI WA HEWA YA OKSIJENI HOSPITALI RUFAA YA JESHI LUGALO
›
Serikali kupitia Wizara ya Afya imetoa kiasi cha Bilioni 4.4 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya kutolea Huduma za Radiolojia, jengo la...
Jumatatu, 20 Juni 2022
WADAU WA MAENDELEO KUCHAGIA BILIONI 98.1 KUPITIA MFUKO WA AFYA WA PAMOJA
›
Waziri wa Afya, Mheshimiwa Ummy Mwalimu akisema jambo kwenye Mkutano na Wadau wa Maendeleo wanaochangia kwenye Mfuko wa Afya wa pamoja (ha...
Maoni 1 :
Ijumaa, 17 Juni 2022
WAZIRI UMMY AKUTANA NA MWAKILISHI MKAZI KUTOKA UN-WOMEN
›
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu akiwa na Mwakilishi Mkazi kutoka UN-WOMEN Bi. Hodan Addou baada ya kumalizika kwa kikao chao kilichofanyika...
Jumanne, 10 Mei 2022
HATUWEZI KUWA NA WATUMISHI BORA WA AFYA KWA KUVUMILIA VYUO VINAVYOFANYA UDANGANYIFU - PROF. MAKUBI
›
Wakuu wa vyuo vya Afya wakifuatilia neno kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Wakuu wa vyuo vya afya uliof...
Maoni 1 :
Ijumaa, 6 Mei 2022
WARATIBU WA TIBA ASILI WAELEKEZWA KUKEMEA RAMLI CHONGANISHI.
›
KAIMU Mkuregenzi Msaidizi anayeshughulikia Tiba Asili na Tiba Mbadala Wizara ya Afya Bi. Lucy Mziray akieleza jambo wakati wa ufunguzi wa ...
Maoni 19 :
›
Nyumbani
Ona toleo la wavuti