Pages

Ijumaa, 27 Oktoba 2017

MH. UMMY AWAJIA JUU VIONGOZI WANAOWAKAMATA MADAKTARI BILA KUFUATA UTARATIBU


Aliyasema hayo wakati wa ufunguzi wa Kongamano la 49 la Afya na Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama Cha Madaktari yaliofanyika jijini Dar es salaam, huku likihudhuliwa na Makamu wa Raisi wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Samia Suluhu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni