Pages

Jumamosi, 11 Novemba 2017

WATANZANIA WAASWA KUFANYA MAZOEZI KUEPUKA UGONJWA WA KISUKARI. NA WAMJW-DA ES SALAAM.N



Na WAMJWW

WATANZANIA waaswakujihusishanatabia ya kupendakufanyamazoeziilikuepukaugonjwawakisukarinaviashiriavyakekatikajamiiyetuinayotuzunguka.

HayoyamesemwanaMkurugenziwaKinga Wizara ya afya Dkt. NeemaRusibamayilaalipomwakilshaWaziriwa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia ,WazeenaWatotoMhe. UmmyMwalimuwakatiwakuadhimishasiku ya Kisukaridunianileojijini Dar es salaam.

Watanzaniatunatakiwakupendakujijengeatabia ya kufanyamazoezimarakwamarailikuwezakuepukamagonjwayasioambukizaikiwemoKisukarinaviashiriavyakekwaujumla” alisemaDkt. Rusibamayila.

AidhaDkt. Rusibamayilaamesemakuwawatanzaniawengihawanabudikujikinganaugonjwahuokwaniasilimia 60 wanafarikikwaugonjwahuodunianikilamwaka.

KwamujibuWaDkt. Rusibamayilaamesemakuwaasilimiakubwa ya wanawakenchiniwanauzitomkubwa,mafutamenginahawajihusishinamazoezihivyohupelekeakupatahatharizaugonjwawakisukari.

MbalinahayoDkt. Rusibamayilaamesemakuwalichatu ya kufanyamazoezilakinipiawanatakiwakuepukamatumizi ya vileokama vile uvutajitumbaku,unywajipombenauvutajiwa shisha ilikuepukamagonjwayasioambukizakwaniyamekuwahatarikwawatanzania.

Kwaupande wake KaimuMkurugenziwaKituo cha chakulanaLishe (TFNC) Dkt. VicentAsseyamesemakuwasambambanakufanyamazoeziwatanzaniawanatakiwakuzingatiamloulio bora ilikuepukaugonjwawakisukari.

AidhaDktAsseyamesisitizawalimu , wazazinawatoahudumangazi ya jamaiiwanatakiwakuwakipaumbelekatikakuelimishawatotonajamiinzimakwaujumlajuu ya lishe bora ambayohuletakingazidi ya kisukari.

Siku ya kisukariDunianihuadhimshwaNovemba 14 kilamwakanamwakahuuimeadhimishwasambambanamatembezi ya hiarinamazoezi ya pamojakutokaviwanjavyamuhimbilimpkaMnazimmojanakubebaKaulimbiuisemayo “MWANAMKE NA KISUKARI “ikimaanishawanawakewawemstariwambelekatikakupambananaugonjwahuo.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni