DKT MPOKI ASEMA WATOA HUDUMA ZA USINGIZI WANAHITAJIKA ZAIDI NCHINI.
Watumishi wa wa afya wa kutoa huduma za usingizi wanahitajika zaidi nchini ili kuweza kutoa huduma hiyo kwa wingi na ukaribu zaidi mara zinapohitajika kwa wagonjwa wanaohitaji upasuaji kwa usalama katika hospitali zetu
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni