Pages

Ijumaa, 23 Machi 2018

AGIZO LA WAZIRI UMMY KWA WAGANGA WAFAWIDHI





Nawaagiza waganga wafawidhi wote wa hospitali na vituo vya huduma kuhakikisha watoto wote wanaoanza shule za bweni wanafanyiwa uchunguzi wa TB kikamilifu kabla ya  kuanza masomo.

Ameyasema hayo mapema leo katika ukumbi wa Habari Maelezo jijini Dodoma wakati akitoa tamko la Kifua Kikuu (TB) mbele ya Waandishi wa habari.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni