Pages

Ijumaa, 9 Machi 2018

DKT. FAUSTINE AKUTANA NA UGENI KUTOKA UBALOZI WA MAREKANI NA WADAU WA AFYA.




 Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akutana na ugeni kutoka ubalozi wa Marekani na wadau wa Afya mapema leo katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar Es salaam, lengo ni kujadili namna ya kuimarisha Sekta ya Afya nchini.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni