Ameyasema hayo Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali hiyo Dkt. Godlove Mbwanji katika ofisi yake jijini Mbeya,
Dkt. Mbwanji hakusita kuupongeza Uongozi na Wafanyakazi wa Hospitali hiyo kwa kujitoa kwa moyo katika kuwatumikia wananchi, pia aliwashukuru wananchi wa Mbeya hususani madereva wa Boda boda kwa moyo wakujitolea katika kuboresha Sekta ya Afya ikiwemo kutoa michango yakifedha.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni