Pages

Ijumaa, 25 Mei 2018

SERIKALI YA TANZANIA IMEJIPANGA KUDHIBITI MAGONJWA YA MLIPUKO

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Kinga.Dkt. Khalid Massa,(kulia) akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani Dar es Salaam jana,kuhusu Serikali ya Tanzania ilivyojipanga kukabiliana na magonjwa milipuko ikiwemo Ebola. kushoto ni Dakitari wa Wizara ya Afya.Dkt. Faraja Msemwa.

Mwakilishi wa Shirika La Afya Duniani (WHO) Kutoka Uganda Dkt.Miriam Nanyunja, akifafanua jambo mbele ya Kamati ya Taifa ya kukabiliana na magonjwa ya Milipuko ikiwemo Ebola. wakati wa kutathimini mikakati iliyowekwa na nchi kukabiliana na magon jwa hayo.kushoto ni Ofisa anaeshughulikia  magonjwa ya Milipuko.Dkt.Grace Saguti

Baadhi ya wanakamati wa Taifa wa kukabiliana na magonjwa ya Milipuko wakifuatilia kwa makini tathimini ya mikakati ya kutekeleza mpango wa kukabiliana na magonjwa ya mlipuko mbalimbali ikiwemo Ebola 



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni