Wadau na wataalam mbalimbali wa afya wakiangalia na kujadili utekelezaji wa vipaumbele vya matamko ya Kisera yaliyoidhinishwa kwa mwaka wa fedha 2017/18 pamoja na utekelezaji wa vikundi kazi 11 vya Kitaalam katika kutekeleza mpango mkakati wa nne kwa mwaka wa fedha 2017/2018
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni