Pages

Ijumaa, 28 Desemba 2018

WAZIRI UMMY ATEMBELEA UJENZI WA MAJENGO YA WIZARA JIJINI DODOMA

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akisikiliza maelekezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya ujenzi ya Mzinga Holdings Meja Jenerali Makona (aliyevaa suti nyeusi) inayojenga majengo ya wizara mbalimbali Ihumwa, jijini Dodoma.



Picha mbalimbali zikionyesha Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akiambatana na Katibu Mkuu wa wizara hiyo Dkt. Mpoki Ulisubisya na Mkurugenzi wa sera na mipango Edward Mbanga wakikagua ujenzi wa majengo ya wizara Jijini Dodoma

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni