HALI YA HUDUMA Za AFYA NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MWAKA 2018
6.Vituo vya kutolea huduma za afya nchini
#Hadi kufikia Desemba 2018, jumla ya vituo vya kutolea huduma za Afya vilifikia 7,768 kutoka vituo 7,435 mwaka 2017 sawa na ongezeko la vituo 333 kwa mwaka.
#Katika vituo hivyo Serikali ilikuwa inamiliki asilimia 71 ya vituo vya kutolea huduma.
# Mashirika ya dini asilimia 12, Taasisi za Serikali (Parastatal) asilimia 3 na vituo binafsi asilimia 15.
#Wakati ambapo hospitali zilikuwa asilimia 3, Vituo vya afya asilimia 11 na Zahanati asilimia 86.
Imetolewa na ;
Wizara ya Afya,Maendeleonya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto
28/01/2019
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni