Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,
Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Ally Mwalimu akiwasilisha makadirio ya
Bajeti ya Wizara yake katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mei, 07, 2019 Jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya
Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akijibu hoja za
wabunge katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mei 07,
2019.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni