Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na
Watoto Mhe. Ummy Mwalimu Kulia akipata maelezo juu ya Chumba cha Upasuaji
katika Hospitali ya Rufaa ya Kitete mkoani Tabora kutoka kwa Mganga Mkuu wa Mkoa
wa Tabora Dkt. Gunin Komba kushoto wakati
wa ziara yake mkoani humo.
|
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni