
Waziri wa Afya Dkt.Gwajima akiwa Kwenye chumba Cha kuwahudumia Wazee kilichopo Kwenye jengo la wagonjwa wa nje,mbele yake ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma Dkt.Ernest Ibenzi

Waziri wa Afya Dkt.Dorothy Gwajima akiangalia Bango linaloelezea huduma za wazee wakati wa ziara ya kuona utekelezaji wa maboresho ya Huduma ya Wazee Kwenye hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima akipima afya Kwenye jengo wa wagonjwa wa nje kwa kutumia 'patient monitor' ambayo unapima Presha,mapigo ya Moyo na wingi wa hewa ya Oksjeni.

Waziri Dkt.Gwajima akiangalia mfumo wa kuwahudumia wagonjwa uliopo Kwenye hospitali hiyo.

Mmoja wa mzee aliyefika kupata matibabu kweenye hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma

Waziri Dkt.Gwajima akiwa amevalia vazi maalumu la kumtambulisha mtoa huduma ambaye anawahudumia Wazee kwenye hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma.Mkakati huo itatekelezwa nchi nzima Kwenye vituo vya kutolea huduma.
Na.WAMJW-Dodoma
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeanza kufanya ufuatiliaji wa maelekezo yake katika kuboresha huduma za matibabu kwa wazee kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima alipotembelea hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma na kujionea jinsi walivyoweza kutekeleza maagizo ya utoaji wa huduma za afya kwa wazee wanaofika kupata matibabu hospitalini hapo.
Dkt. Gwajima amesema mahitaji ya maboresho ni mengi hivyo wizara yake imeona ianze na vitu vile vya msingi ambavyo wazee wamekuwa wakiyalalamikia kila siku wanapofika kwenye vituo vya kutoalea huduma za afya.
Ametaja malalamiko yanayokuwa yakilalamikiwa na wazee wanapofika kwenye vituo vya afya ni pamoja na mapokezi yasiyoeleweka na kutokupata huduma iliyokusudiwa na kuongeza kuwa wazee nguvu zimekwisha hivyo wanahitaji kuongozwa kwahiyo wizara yake wamefanya maboresho kwa kuwa na watu maalumu wa kuwapokea wazee hao pale wanapoifika hadi kuondoka na kuwatambulisha kwa kuvaa sare maalumu.
“Kila kituo lazima kiwe na nesi mmoja, afisa ustawi wa jamii pamoja na daktari aliyepangwa zamu na lazima wavae sare ambayo itamtambulisha na imeandikwa ‘Mzee ni Tunu, Tunakupenda, Tunakuheshimu’ pamoja na kuweka mabango yanayomuelekeza au kumuongoza mzee wapi atapata huduma anazozihitaji na ambayo yameandikwa "Mpishe Mzee apate huduma kwanza".
Dkt. Gwajima amesema maelekezo hayo wameyatoa katika hospitali na vituo vya afya vyote na kwa hatua hiyo sasa wizara inaenda kutengeneza muongozo ambao utakua wa uwiano kwa hospitali zote. Hata hivyo ameipongeza hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma kwa kuanza utekelezaji huo na kuwa itakuwa ya mfano wengine kujifunza utaratibu unaotumika na kuboresha kulingana na mazingira yao.
Aidha, Dkt. Gwajima amewataka hospitali zingine kutokusubiri miongozo katika kutekeleza maelekezo yanayolewa na kusiwe na visingizio vingi kwamba haiwezekani kwani maagizo yanayotolewa yanawezekana na utekelezaji wake ni wa mara moja hususan katika hospitali za kuanzia halmashauri hadi ngazi ya Taifa.
Naye Kaimu Mkurugenzi wa huduma za Tiba kutoka Wizara ya Afya Dkt. Vivian Wonanji amesema idara yake imeandaa mkakati wa huduma wa wazee wa miaka kumi na ifikapo mwezi Juni mwaka huu wataanza kuandaa mpango wa utekelezaji wake.
Dkt. Wonanji amesema mpango mkakati huo utakuwa na mambo makuu yakiwemo kuzalisha wataalam wa kutoa huduma za wazee,"kama tunavyofahamu wazee wanahitaji mambo mengi ikiwemo masuala ya lishe na utengamao hivyo mkakati huo utakua na maono muhimu ambayo yatasaidia kuboresha huduma za wazee nchini”.
Wakati huo huo Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma Dkt. Ernest Ibenzi amesema hospitali yake imejipanga kuwahudumia wazee wa rika tofauti wakiwemo wenye uoni hafifu na hivyo waratibu wa wazee huwafuata wazee mara wafikapo hospitalini hivyo wanashukuru mapokeo ya wazee pamoja na wagonjwa wanaofika kupata huduma.
Mnamo tarehe 7 Mei, mwaka huu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati akiongea na wazee wa Mkoa wa Dar es salaam aliahidi kuboresha tiba kwa wazee kwani tiba ni haki yao ya msingi katika daraja lolote lile watakalokua wanaugua kuanzia vituo vya afya, zahanati hata hospitali za Taifa.
-Mwisho-
Love this! I’m already done with my Christmas crafts (OK, I’ve run out of time, so I’m throwing in the towel for the remaining gifts), but I’m already adding this to my list of next year crafts.
JibuFuta☑야한동영상
➥대딸방
➫타이마사지
➢안마
➭바카라사이트
I’m not sure why but I think its a linking issue. I’ve tried it in two different web browsers and both show the same results. Check other way to work it out.. Thanks! 토토사이트
JibuFuta토토 Some truly nice and useful information on this
JibuFutawebsite, also I believe the layout has superb features.
토토사이트 Terrific work! This is the type of info that are meant to
JibuFutabe shared across the web. Shame on Google for not
positioning this publish higher! Come on over and talk over with my site .
Great job. Looking to read this next post. Thanks
JibuFuta바카라사이트
카지노사이트
온라인카지노
바카라사이트닷컴
I have you bookmarked to check out new stuff post. keep it up
JibuFuta온라인카지노
바카라사이트
카지노사이트
온라인카지노
I have read your article; it is very informative and helpful for me. I admire the valuable information you offer in your articles. Thanks for posting it. 토토
JibuFutaYour blog have nice information, I got good ideas from this amazing blog.
JibuFuta카지노사이트
It’s so good and so awesome. I am just amazed. I hope that you continue to do your work like this in the future also. 토토사이트
JibuFutawow, awesome blog post. Much thanks again. 토토
JibuFutaGreat information, thanks for sharing it with us 카지노
JibuFutaGreat content material and great layout. Your website deserves all of the positive feedback it’s been getting. 파친코사이트
JibuFutaPlease keep sharing more articles.
JibuFuta카지노사이트
I do agree with all of the ideas you’ve presented in your post.
JibuFuta카지노사이트
Thanks for taking the time to discuss this, Very well written and will like to read more on your informative website. 토토사이트 온라인카지노
JibuFutaUsually I don’t learn article on blogs, however I would like to say that
JibuFutathis write-up very pressured me to take a look at and do it! Your writing style has been amazed me. Thank you, very great article. 토토사이트
I am a new user of this site so here i saw multiple articles and posts posted by this site, I curious more interest in some of them hope you will give more information on this topics in your next articles. 카지노사이트
JibuFutareally like reading through a post that can make people think. Also, many thanks for permitting me to comment!
JibuFutamajortotosite
racesite
oncasinosite
totopick
I love what you guys are usually up too. This type of clever work and reporting! Keep up the superb works guys I’ve included you guys to blogroll. 스포츠토토
JibuFutaThis is the best way to share the great article with everyone one, so that everyone can able to utilize this information.
JibuFuta토토
Hey your collection is outstanding; I never see such a type of collection before. Thanks for sharing it with us. Keep it up.
JibuFuta카지노사이트
It’s actually great and useful information. Thank you for sharing this useful information with us.
JibuFuta안전토토사이트
It’s truly a nice and helpful piece of information. I’m happy that you simply shared this helpful information with us.
JibuFuta토토사이트
Hi there! nice piece of writing and nice urging commented at this place, I am really enjoying by these. 토토
JibuFutaLike!! I blog frequently and I really thank you for your content. The article has truly peaked my interest. 파워볼
JibuFutaThis site seems to inspire me a lot. Thank you so much for organizing and providing this quality information in an easy to understand way. We offer safe and trusted online site for gamer.
JibuFutacome here: my website:https://www.casinoholic.info
Many casinos even have sportsbooks, bingo and poker rooms attached. Funds can easily be transferred from one tab to another, giving real-money players in the game even more choice. Online gambling sites offer superior entertainment to playing in a land-based casino.
JibuFutaThe blog was actually fantastic! Lots of abundant advice and inspiration, both of which we all need! 카지노
JibuFutaI have a creative mind. I was always looking for a topic like this. I'm glad I was able to find this. thank you메이저토토
JibuFutaAlhamdulilah Jafarull dapat menerapkan ini bung.
JibuFuta