Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumapili, 23 Mei 2021

WIZARA YA AFYA YAANZA UTEKELEZAJI WA MABORESHO YA HUDUMA ZA MATIBABU KWA WAZEE


Waziri wa Afya Dkt.Gwajima akiwa Kwenye chumba Cha kuwahudumia Wazee kilichopo Kwenye jengo la wagonjwa wa nje,mbele yake ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma Dkt.Ernest Ibenzi

Waziri wa Afya Dkt.Dorothy Gwajima akiangalia Bango linaloelezea huduma za wazee wakati wa ziara ya kuona utekelezaji wa maboresho ya Huduma ya Wazee Kwenye hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima akipima afya Kwenye jengo wa wagonjwa wa nje kwa kutumia  'patient monitor' ambayo unapima Presha,mapigo ya Moyo na wingi wa hewa ya Oksjeni.

Waziri Dkt.Gwajima akiangalia mfumo wa kuwahudumia wagonjwa uliopo Kwenye hospitali hiyo.

Mmoja wa mzee aliyefika kupata matibabu kweenye hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma

Waziri Dkt.Gwajima akiwa amevalia vazi maalumu la kumtambulisha mtoa huduma ambaye anawahudumia Wazee kwenye hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma.Mkakati huo itatekelezwa nchi nzima Kwenye vituo vya kutolea huduma.


Na.WAMJW-Dodoma

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeanza kufanya ufuatiliaji  wa maelekezo yake  katika kuboresha huduma za matibabu kwa wazee kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini.

Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima alipotembelea hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma na kujionea jinsi walivyoweza kutekeleza maagizo ya utoaji wa huduma za afya kwa wazee wanaofika kupata matibabu hospitalini hapo.

Dkt. Gwajima amesema mahitaji ya maboresho ni mengi  hivyo wizara yake imeona ianze na vitu  vile vya msingi  ambavyo wazee wamekuwa wakiyalalamikia   kila siku wanapofika kwenye vituo vya kutoalea huduma za afya.

Ametaja malalamiko yanayokuwa yakilalamikiwa na wazee  wanapofika kwenye vituo vya afya ni pamoja na mapokezi yasiyoeleweka na kutokupata huduma iliyokusudiwa na kuongeza kuwa   wazee nguvu zimekwisha hivyo wanahitaji kuongozwa kwahiyo wizara yake wamefanya maboresho kwa kuwa na watu maalumu wa kuwapokea wazee hao pale wanapoifika hadi kuondoka na kuwatambulisha kwa kuvaa sare maalumu.

“Kila kituo lazima kiwe na nesi mmoja, afisa ustawi wa jamii pamoja na daktari aliyepangwa zamu na lazima wavae sare ambayo itamtambulisha na imeandikwa ‘Mzee ni Tunu, Tunakupenda, Tunakuheshimu’  pamoja na kuweka mabango yanayomuelekeza au kumuongoza mzee wapi atapata huduma anazozihitaji na ambayo yameandikwa "Mpishe Mzee apate huduma kwanza".

Dkt. Gwajima amesema maelekezo hayo wameyatoa katika hospitali na vituo vya afya vyote na kwa hatua hiyo sasa wizara inaenda kutengeneza muongozo ambao utakua wa uwiano kwa hospitali zote.  Hata hivyo ameipongeza hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma kwa kuanza utekelezaji huo na kuwa itakuwa ya mfano wengine kujifunza utaratibu unaotumika na kuboresha kulingana na mazingira yao.

Aidha, Dkt. Gwajima amewataka hospitali zingine kutokusubiri miongozo katika kutekeleza  maelekezo yanayolewa na kusiwe na visingizio vingi kwamba haiwezekani kwani maagizo yanayotolewa yanawezekana na utekelezaji wake ni wa mara moja hususan katika hospitali za kuanzia halmashauri hadi ngazi ya Taifa.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa huduma za Tiba kutoka Wizara ya Afya Dkt. Vivian Wonanji  amesema idara yake imeandaa mkakati wa huduma wa wazee wa  miaka kumi na ifikapo mwezi Juni mwaka huu wataanza kuandaa mpango wa utekelezaji wake.

Dkt. Wonanji amesema mpango mkakati huo utakuwa na mambo makuu yakiwemo kuzalisha wataalam wa kutoa huduma za wazee,"kama tunavyofahamu wazee wanahitaji mambo mengi ikiwemo masuala ya lishe na utengamao hivyo mkakati huo utakua na maono muhimu ambayo yatasaidia kuboresha huduma za wazee nchini”.

Wakati huo huo Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma Dkt. Ernest Ibenzi amesema hospitali yake imejipanga kuwahudumia wazee wa rika tofauti wakiwemo wenye uoni hafifu na hivyo waratibu wa wazee huwafuata wazee mara wafikapo hospitalini  hivyo wanashukuru mapokeo ya wazee pamoja na wagonjwa wanaofika kupata huduma. 

Mnamo tarehe 7 Mei, mwaka huu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati akiongea na wazee wa Mkoa wa Dar es salaam aliahidi kuboresha tiba kwa wazee  kwani tiba ni haki yao ya msingi  katika daraja lolote lile watakalokua wanaugua kuanzia vituo vya afya, zahanati hata hospitali za Taifa.

-Mwisho-

36 on: "WIZARA YA AFYA YAANZA UTEKELEZAJI WA MABORESHO YA HUDUMA ZA MATIBABU KWA WAZEE"
  1. Love this! I’m already done with my Christmas crafts (OK, I’ve run out of time, so I’m throwing in the towel for the remaining gifts), but I’m already adding this to my list of next year crafts.

    야한동영상
    대딸방
    타이마사지
    안마
    바카라사이트

    JibuFuta
  2. I’m not sure why but I think its a linking issue. I’ve tried it in two different web browsers and both show the same results. Check other way to work it out.. Thanks! 토토사이트

    JibuFuta
  3. I have read your article; it is very informative and helpful for me. I admire the valuable information you offer in your articles. Thanks for posting it. 토토

    JibuFuta
  4. Your blog have nice information, I got good ideas from this amazing blog.
    카지노사이트

    JibuFuta
  5. It’s so good and so awesome. I am just amazed. I hope that you continue to do your work like this in the future also. 토토사이트

    JibuFuta
  6. wow, awesome blog post. Much thanks again. 토토

    JibuFuta
  7. Great content material and great layout. Your website deserves all of the positive feedback it’s been getting. 파친코사이트

    JibuFuta
  8. Thanks for taking the time to discuss this, Very well written and will like to read more on your informative website. 토토사이트 온라인카지노

    JibuFuta
  9. Usually I don’t learn article on blogs, however I would like to say that
    this write-up very pressured me to take a look at and do it! Your writing style has been amazed me. Thank you, very great article. 토토사이트

    JibuFuta
  10. I am a new user of this site so here i saw multiple articles and posts posted by this site, I curious more interest in some of them hope you will give more information on this topics in your next articles. 카지노사이트

    JibuFuta
  11. really like reading through a post that can make people think. Also, many thanks for permitting me to comment!

    majortotosite
    racesite
    oncasinosite
    totopick

    JibuFuta
  12. I love what you guys are usually up too. This type of clever work and reporting! Keep up the superb works guys I’ve included you guys to blogroll. 스포츠토토

    JibuFuta
  13. This is the best way to share the great article with everyone one, so that everyone can able to utilize this information.
    토토

    JibuFuta
  14. It’s actually great and useful information. Thank you for sharing this useful information with us.
    안전토토사이트

    JibuFuta
  15. It’s truly a nice and helpful piece of information. I’m happy that you simply shared this helpful information with us.
    토토사이트

    JibuFuta
  16. Hi there! nice piece of writing and nice urging commented at this place, I am really enjoying by these. 토토

    JibuFuta
  17. Like!! I blog frequently and I really thank you for your content. The article has truly peaked my interest. 파워볼

    JibuFuta
  18. This site seems to inspire me a lot. Thank you so much for organizing and providing this quality information in an easy to understand way. We offer safe and trusted online site for gamer.
    come here: my website:https://www.casinoholic.info

    JibuFuta
  19. Many casinos even have sportsbooks, bingo and poker rooms attached. Funds can easily be transferred from one tab to another, giving real-money players in the game even more choice. Online gambling sites offer superior entertainment to playing in a land-based casino.

    JibuFuta
  20. The blog was actually fantastic! Lots of abundant advice and inspiration, both of which we all need! 카지노

    JibuFuta
  21. Excellent content to read. Thanks for sharing this post. Keep writing and keep up your good work. Expecting much more interesting blogs from the author. Abogado De Trafico En Virginia

    JibuFuta
  22. This is some great information. I expect additional facts like this was distributed across the web today.
    abogado de lesiones personales de virginia

    JibuFuta
  23. excellent delivery Outstanding justifications. Continue the excellent work. Continue publishing such information on your website.

    JibuFuta
  24. "Such a very useful article. You should mainly superior together with well-performing material, which means that see it:

    JibuFuta
  25. "I like the way you write this article, Very interesting to read.I would like to thank you for the efforts you had made for writing this awesome article.

    JibuFuta
  26. I just want to say I’m all new to blogging and honestly loved your web blog. More than likely I’m want to bookmark your blog .

    JibuFuta
  27. I’m impressed, I have to admit. Genuinely rarely must i encounter a weblog that’s both educative and entertaining, and without a doubt, you may have hit the nail about the head.

    JibuFuta
  28. For individuals facing a suspended or revoked driver's license due to traffic violations, a Traffic Lawyer Fairfax VA can guide them through the process of restoring their driving privileges.

    JibuFuta
  29. Registro Central Violencia Doméstica Nueva Jersey22 Septemba 2023, 14:51

    Excellent breakdown of the latest tech trends. The AI applications section was eye-opening!Thanks for sharing this article.
    Registro Central Violencia Doméstica Nueva Jersey

    JibuFuta
  30. I've been reading some of your blog postings, and I find this place to be really educational. Continue posting.

    JibuFuta
  31. Let AfyaBlog be your trusted companion on the path to wellness, guiding you towards a happier, healthier, and more vibrant life. Together, let's embark on a journey of self-discovery, empowerment, and vitality through the diverse and enriching content offered by AfyaBlog.
    dui lawyer southampton va

    JibuFuta

  32. Look into neighborhood law offices for individualized legal support. Use internet directories or recommendations to find local legal professionals that can provide convenient consultations and specialized assistance for your needs.
    attorney office near me

    JibuFuta

  33. شركة سبيد واي نقل الأثاث الموثوقة والمحترفة في الرياض تقدم خدمات نقل فعالة وآمنة لتجربة نقل مريحة ارخص شركة نقل اثاث بالرياض

    JibuFuta
  34. Un abogado de Defensa Criminal en Fairfax, VA, juega un papel important in la protección de los derechos de los acusados en un sistema legal cada vez más complejo. This title emphasizes the significance of legal defence in a particular context—in this case, Fairfax, Virginia—where laws and procedures may differ significantly.Abogado Defensa Criminal en Fairfax VA

    JibuFuta