Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumatano, 6 Aprili 2022

PROF. MAKUBI ATOA WITO KWA WANANCHI KUWAHI KUFANYA UCHUNGUZI WA SARATANI.

 

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi akifungua Kongamano la 8 Kisayansi wakijadili kuhusu mafunzo na tafiti za magonjwa ya Saratani ya damu.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi akimkabidhi tuzo ya Heshima na Prof. Magesa (Daktari wa Haematology.

Washiriki wa Kongamano la 8 la Kisayansi la masuala ya Tafiti ya magonjwa ya Kansa ya damu, lililofanyika Jijini Dar es salaam.


Picha ya Pamoja ikiongozwa na Prof. Abel Makubi, Katibu Mkuu Wizara ya Afya baada ya ufunguzi wa Kongamano la Kisayansi la masuala ya Tafiti ya magonjwa ya Kansa ya damu, lililofanyika Jijini Dar es salaam.


Na Rayson Mwaisemba WAF - DSM.

KATIBU MKUU Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi ametoa wito kwa Watanzania kujenga tabia ya kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara  ili kuweza kujua hali zao mapema na kuepuka dhidi ya magonjwa ikiwemo Saratani inayo pelekea kifo pindi mgonjwa anapochelewa kuanza matibabu.

Prof. Makubi ametoa wito huo leo wakati akiongea na Waandishi wa Habari baada ya  ufunguzi wa Kongamano la 8 la Kisayansi la masuala ya tafiti na mafunzo lililofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Sayansi Shirikishi Muhimbili, Jijini DaresSalaam. Kauli mbiu ikiwa "utafiti na mafunzo ni daraja la kuelekea huduma bora kwa wagonjwa wa saratani ya damu." 

"Nitoe wito kwa Wananchi kuwahi kufanya uchunguzi ili kujua hali ya magonjwa hasa ugonjwa wa Saratani katika miili, dalili za ugonjwa wa Saratani tunazijua, zipo nyingi,  inawezakuwa kupungukiwa damu, inaweza kuwa kujisikia homa, inawezakuwa kupungua uzito au kukohoa damu kwa wagonjwa wenye kansa za Kifua, au hata kushindwa kula chakula." Amesema.

Aliendelea kusema kuwa, endapo mtu amepata dalili zozote kati ya hizi ni vizuri kwenda mapema katika vituo vya kutolea huduma za afya ili kufanya uchunguzi kujua hali ya afya na kuanza matibabu, kwani yaweza kuwa ni ugonjwa wa Saratani au ugonjwa mwingine, amesisitiza Prof. Makubi. 

Sambamba na hilo, Prof. Makubi amesisitiza kuwa, ni vizuri kila baada ya miezi sita mpaka mwaka mmoja kujenga tabia ya kwenda kufanya uchunguzi (check up) ili kujua hali ya afya ya mwili, ikiwamo kuangalia magonjwa yasiyoambukiza kama vile ugonjwa wa Saratani. 

Aidha, Prof Makubi amesema kuwa, takribani watu 40,000 wanagundulika kuwa na saratani kila mwaka hapa Tanzania, huku akisisitiza kuwa asilimia 80% ya wagonjwa hawa hupoteza maisha kwasababu ya kuchelewa kufanya uchunguzi ili kuanza matibabu ya ugonjwa wa Saratani.

"Takribani watu elfu 40 wanagundulika kuwa na saratani kila mwaka hapa Tanzania, na 80% ya wagonjwa hawa hupoteza maisha."amesema Prof Makubi.

Hata hivyo, Prof Makubi ameushukuru uongozi wa Chuo cha Muhimbili kwa kuendelea kuwa mstari wa mbele kwa kutoa elimu kwa wananchi jinsi ya kujikinga dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo ugonjwa wa Saratani.

Vile vile, Prof. Makubi amewashukuru Wataalamu mbalimbali waliotoa mchango mkubwa katika kusaidia tiba ya magonjwa ya Saratani ya damu, Wataalamu hao ni pamoja na Prof. Magesa (Daktari wa Haematology,  Chuo cha Muhimbili), Dkt. Maunda (Taasisi ya Saratani Ocean Road), Dkt. Trish (Daktari wa Watoto).

Kwa upande wake Mkuu wa Chuo cha Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Prof. Andrea Pembe amewashukuru Wataalamu na wanafunzi waliojitokeza kushiriki Kongamano hili la Kisayansi lenye kujadili Saratani ya Damu lenye lengo la kutafuta matibabu ili kuwasaidia wananchi wanaopoteza maisha kwasababu ya ugonjwa wa Saratani, hasa Saratani ya damu.

 

MWISHO.






18 on: "PROF. MAKUBI ATOA WITO KWA WANANCHI KUWAHI KUFANYA UCHUNGUZI WA SARATANI. "
  1. Found your post interesting to read. I can’t wait to see your post soon.
    바카라사이트

    JibuFuta
  2. I really enjoy your web’s topic. Very creative and friendly for users.
    안전토토사이트

    JibuFuta
  3. Keep up the good work you are doing here. Good job! Nice article you made This is really interesting, Very skilled blogger. Keep it up! 카지노사이트

    JibuFuta
  4. This is a very interesting article. Please, share more like this! Keep blogging Thanks to the author for writing such wonderful lines here. It awesome 온라인카지노

    JibuFuta
  5. This is excellent blog here. A great read. Thank you for sharing. Best of luck!! 카지노사이트

    JibuFuta
  6. Thanks a lot for sharing this marvelous post. Very useful!!

    JibuFuta
  7. Love learning more on this topic. Extremely helpful!

    JibuFuta
  8. Amazing article. Thanks for sharing wonderful informative blogs.

    JibuFuta
  9. Thanks for sharing wonderful informative blogs. Keep doing it

    JibuFuta
  10. I love this article, it's very useful for us. Thank you for sharing wonderful content. Fairfax DUI Lawyer

    JibuFuta
  11. Thank you very much for sharing this amazing knowledge! I am looking forward to seeing more of your posts.Abogados Criminal en el Condado de Prince William

    JibuFuta
  12. This little step-by-step guide, Thanks for the solution… I was looking for the exact thing ......Abogado Tráfico Fairfax

    JibuFuta
  13. An important part of Tanzania's healthcare system is the Ministry of Health, or Wizara ya Afya. The goal of the ministry's Atom project is to improve healthcare service by using creative ideas. Atom works to improve healthcare accessible in rural areas as well as modernize infrastructure. Atom seeks to address major issues in healthcare, such as illness prevention and treatment, through collaborations and technology. Atom is a potential project in Tanzania's quest to improve health outcomes for its people because of its cooperative approach and dedication to utilizing healthcare innovations.
    abogado dui rockingham va

    JibuFuta