Dkt. Jamed KiologweMkurugenzi Msaidizi Magonjwa Yasiyoambukiza - Idara ya TibaNa Englibert KayomboKatika kuadhimisha Siku ya Kichaa cha Mbwa Duniani kila mwaka ifikapo tarehe 28 ya kila mwezi Septemba, Wizara ya Afya imewatahadharisha wananchi kujikinga na ugonjwa huo...
Jumanne, 28 Septemba 2021
Ijumaa, 24 Septemba 2021

WAZIRI MKUU AMUAGIZA WAZIRI AFYA KUPELEKA JOKOFU, DAKTARI KITUO CHA AFYA NDUNGU.
Na WAMJW -KILIMANJAROWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amemuagiza Waziri wa Afya Mhe. Dkt Dorothy Gwajima kununua na kipeleka Jokofu la kuhifadhi pamoja na kuongeza Daktari mmoja katika kituo cha afya Ndungu...
Jumapili, 27 Juni 2021
TAALUMA YA FAMASI NI MUHIMU KATIKA VITA YA NCD: Dkt. GWAJIMA
Na. Catherine Sungura,WAMJW-Mwanza Katika vita dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza Taaluma ya Famasi ni muhimu katika kuwezesha upatikananji wa bidhaa za dawa kwa wale watakaoshindwa kuzuia kupata magonjwa yasiayoambukiza na ikawalazimu wafike vituoni kupata tiba. Kauli hiyo imetolewa...
Jumatatu, 21 Juni 2021

Mganga Mkuu wa Serikali afanya ziara Hospitali ya Rufaa ya Amana
Na.WAMJW - DSMMganga Mkuu wa Serikali Dkt. Aifelo Sichalwe amefanya ziara fupi katika hospitali ya rufaa ya Mkoa Amana Jijini Dar es Salaam yenye lengo la kukagua Utekelezaji wa maagizo ya Viongozi wa Wizara waliyoyatoa kwa nyakati...
Jumatano, 26 Mei 2021

WIZARA YA AFYA KUJA NA MFUMO WA UFUAUTILIAJI WA WAJAWAZITO NCHI NZIMA
Na Englibert Kayombo – WAMJW, DodomaWizara ya Afya inatarajia kuja na mfumo wa ufuatiliaji wa taarifa za wajawazito wote toka wanapofika kliniki kwa mara ya kwanza hadi baada ya siku 42 za kujifungua.Hayo yamesemwa na Waziri wa...
Jumatatu, 24 Mei 2021

HEDHI SIO UGONJWA WALA LAANA – Waziri Gwajima
Na WAMJW - DodomaWaziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amesema hedhi wanayopata wanawake sio ugonjwa wala laana bali ni uumbaji wa Mungu katika kumkamilisha mwanamke.Waziri Gwajima amesema hayo leo katika...
Jumapili, 23 Mei 2021

WIZARA YA AFYA YAANZA UTEKELEZAJI WA MABORESHO YA HUDUMA ZA MATIBABU KWA WAZEE
Waziri wa Afya Dkt.Gwajima akiwa Kwenye chumba Cha kuwahudumia Wazee kilichopo Kwenye jengo la wagonjwa wa nje,mbele yake ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma Dkt.Ernest IbenziWaziri wa Afya Dkt.Dorothy Gwajima akiangalia Bango linaloelezea...
Jumatano, 19 Mei 2021

FAHAMU ZAIDI KUHUSU KIPIMO CHA RT-PCR KWA WASAFIRI
bintiz("summary2953907700958434189","FAHAMU ZAIDI KUHUSU KIPIMO CHA RT-PCR KWA WASAFIRI","https://afyablog.moh.go.tz/2021/05/fahamu-zaidi-kuhusu-kipimo-cha-rt-pcr.html","");...
Jumatatu, 3 Mei 2021

TRAVEL ADVISORY NO.6 OF 3RD MAY 2021
bintiz("summary4543156135746470872","TRAVEL ADVISORY NO.6 OF 3RD MAY 2021","https://afyablog.moh.go.tz/2021/05/travel-advisory-no6-of-3rd-may-2021.html","");...
Ijumaa, 30 Aprili 2021

MITAMBO YA KUFUA HEWA TIBA(OKSIJENI) KUSIMIKWA HOSPITALI ZA RUFAA ZA MIKOA
Na. Catherine Sungura, WAMJW-DodomaSerikali imeweza kujibu changamoto za kuwahudumia wananchi kwa kuimarisha huduma za afya ya dharura kwa kusimika mitambo ya kufua hewa tiba (Oksijeni) na hivyo kupunguza gharama za uendeshaji wa hospitali za rufaa za mikoa...
WIZARA YA AFYA YAANZA KUTEKELEZA KWA KASI MAELEKEZO YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA SEKTA YA AFYA NCHINI.
Prof. Abek Makubi Katibu Mkuu Wizara ya AfyaNa. WAMJW - Dodoma. Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeanza kutekeleza kwa kasi maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan...
Alhamisi, 29 Aprili 2021

TAARIFA YA KUONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI WA HATUA ZA KUJIKINGA NA MAGONJWA MBALIMBALI NCHINI
bintiz("summary4260428418477046771","TAARIFA YA KUONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI WA HATUA ZA KUJIKINGA NA MAGONJWA MBALIMBALI NCHINI","https://afyablog.moh.go.tz/2021/04/taarifa-ya-kuongeza-kasi-ya-utekelezaji.html","");...
Jumamosi, 17 Aprili 2021
WARATIBU WA MAABARA WAAGIZWA KUSIMAMIA UBORA WA HUDUMA KATIKA MAENEO YAO.
Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa huduma za Maabara Dkt. Mathius Katura akifafanua jambo baada ya kufungua kikao cha Waratibu wa Maabara binafsi wa mikoa, kilichofanyika Mkoani Morogoro. Msajili wa Maabara binafsi nchini Bw. Dominic Fwiling'afu akieleza jambo baada ya...
Jumanne, 9 Machi 2021
KAMATI YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAIPONGEZA SERIKALI KWA KUWEKEZA MIRADI YA MAENDELEO ILIYOBORESHA HUDUMA TIBA ZA KIBINGWA NCHINI
Maabara ya kisasa ya upasuaji wa ubongo (Ango-Suite) katika Taasisi ya Mifupa (MOI) Maabara hii itaiwezesha taasisi kufanya upasuaji wa matatizo ya mishipa ya damu kichwani pasipo kulazimika kufungua fuvu la kichwa.Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya...
Jumamosi, 6 Februari 2021
DAWA ASILIA SASA KUWEKEWA MKAKATI YA KUPATIKANA KATIKA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA NA MADUKA YA DAWA ZA BINADAMU
Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi akisema jambo kwa wazalishaji wa dawa asilia (hawapo pichani) kwenye kikao kilichowakutanisha wazalishaji wa dawa asilia na watendaji kujadili namna bora ya kurahisisha upatikanaji wa dawa asilia kwa jamii.Dkt. Paul...