Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Alhamisi, 4 Agosti 2022

ENDELEENI KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI-DKT. SICHALWE

Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Aifello Sichalwe alipotembelea Hospitali Misheni ya Haydom iliyoko Mkoani Manyara kujionea hali ya utoaji wa huduma za afya ili kuleta ufanisi mzuri katika kutoa huduma.


Na. WAF – Manyara

Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Aifello Sichalwe ameupongeza Uongozi wa Hopsitali ya Misheni ya Haydom iliyoko Mkoani Manyara kwa kazi nzuri wanayofanya katika kuwahudumia wanachi na kuwataka kuendelea kutoa huduma  bora za afya. 

Dkt. Sichalwe ameyasema hayo  Mkoani Manyara alipotembelea Hospitali hiyo kujionea hali ya utoaji wa huduma za afya ambapo amewataka kuwa na dawati la huduma kwa mteja ili kuleta ufanisi mzuri katika kutoa huduma.

Aliendelea kusisitiza kuwa, sababu za hospitali nyingi kushindwa kufanya  vizuri  ni pamoja na kukosekana uongozi mzuri katika utendaji, kutobadili fikra na tabia zinazodumaza maendeleo katika utoaji huduma kwa wananchi. 

“Nahitaji wataalamu wa afya mrudi katika miiko yenu na weledi wenu hii itaturudishia hadhi ya taaluma na kuleta ufanisi mzuri wakati wa kutoa huduma kwa wananchi."Amesema. 

Hata hivyo Dkt. Sichalwe amewakumbusha watumishi katika hospitali hiyo kutumia fursa iliyotolewa na Serikali ya kujiendeleza kielimu ili kuendelea kupata ujuzi zaidi katika taaluma zao.

Aidha amewataka kuwasimamia vizuri na kwa karibu madaktari watarajali wanaofanya mazoezi kwa vitendo (Interns), kwa kuwaelekeza miiko ya taaluma na kufanya  kazi kwa juhudi na ufanisi ili wapate ujuzi mzuri wa kulitumikia Taifa utaoleta matokeo chanya.

Mwisho


10 on: "ENDELEENI KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI-DKT. SICHALWE "
  1. Hongera kwa Hospitali ya Misheni ya Haydom kwa juhudi zao! Ushauri wa Dkt. Sichalwe ni muhimu sana. Tutaona ufanisi mkubwa zaidi katika utoaji wa huduma bora za afya. Keep it up!
    Protección Orden Nueva Jersey

    JibuFuta
  2. It’s wonderful to see a continued focus on providing the best service to citizens! Consistently improving and delivering high-quality services is key to building trust and satisfaction in the community. Thank you for your dedication to making a positive impact—it's always great to see such commitment to serving the public's needs. Looking forward to seeing the continued efforts to enhance service delivery!
    violation of a protective order virginia
    uncontested divorce attorneys in virginia beach

    JibuFuta
  3. Wonderful article. I love your style of writing. It’s inspiring, and I am happy with your writing style... MM

    JibuFuta
  4. I really appreciate reading this blog it is very impressive and informative content... MM

    JibuFuta
  5. I was very happy to locate this web-site. I wished to thanks for this fantastic read!... MM

    JibuFuta
  6. Very informative the stuff you provide I really enjoyed reading, Thanks for this... MM

    JibuFuta
  7. Amazing piece of article, best information there, thanks for sharing... MM

    JibuFuta
  8. It's inspiring to see leaders like Dkt. Aifello Sichalwe emphasizing the importance of quality healthcare services. His call for professional development and ethical practices is crucial. Encouraging healthcare providers to enhance their skills benefits both the profession and snake game

    JibuFuta
  9. Maoni haya yameondolewa na mwandishi.

    JibuFuta
  10. Any community should offer the best services to the citizens and programs such as cichai wf can help. As students need to find the support that they may rely on, the residents obtain efficient and trustful services. To individuals who need to be guided in their studies, websites such as assignment help sheffield can provide professional guidance in order to keep pace and achieve success. Quality support, be it in education or in civic services, is indeed an easy way out.

    JibuFuta