Na. WAF – Manyara
Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Aifello Sichalwe ameupongeza Uongozi wa Hopsitali ya Misheni ya Haydom iliyoko Mkoani Manyara kwa kazi nzuri wanayofanya katika kuwahudumia wanachi na kuwataka kuendelea kutoa huduma bora za afya.
Dkt. Sichalwe ameyasema hayo Mkoani Manyara alipotembelea Hospitali hiyo kujionea hali ya utoaji wa huduma za afya ambapo amewataka kuwa na dawati la huduma kwa mteja ili kuleta ufanisi mzuri katika kutoa huduma.
Aliendelea kusisitiza kuwa, sababu za hospitali nyingi kushindwa kufanya vizuri ni pamoja na kukosekana uongozi mzuri katika utendaji, kutobadili fikra na tabia zinazodumaza maendeleo katika utoaji huduma kwa wananchi.
“Nahitaji wataalamu wa afya mrudi katika miiko yenu na weledi wenu hii itaturudishia hadhi ya taaluma na kuleta ufanisi mzuri wakati wa kutoa huduma kwa wananchi."Amesema.
Hata hivyo Dkt. Sichalwe amewakumbusha watumishi katika hospitali hiyo kutumia fursa iliyotolewa na Serikali ya kujiendeleza kielimu ili kuendelea kupata ujuzi zaidi katika taaluma zao.
Aidha amewataka kuwasimamia vizuri na kwa karibu madaktari watarajali wanaofanya mazoezi kwa vitendo (Interns), kwa kuwaelekeza miiko ya taaluma na kufanya kazi kwa juhudi na ufanisi ili wapate ujuzi mzuri wa kulitumikia Taifa utaoleta matokeo chanya.
Mwisho

Hongera kwa Hospitali ya Misheni ya Haydom kwa juhudi zao! Ushauri wa Dkt. Sichalwe ni muhimu sana. Tutaona ufanisi mkubwa zaidi katika utoaji wa huduma bora za afya. Keep it up!
JibuFutaProtección Orden Nueva Jersey
It’s wonderful to see a continued focus on providing the best service to citizens! Consistently improving and delivering high-quality services is key to building trust and satisfaction in the community. Thank you for your dedication to making a positive impact—it's always great to see such commitment to serving the public's needs. Looking forward to seeing the continued efforts to enhance service delivery!
JibuFutaviolation of a protective order virginia
uncontested divorce attorneys in virginia beach
Wonderful article. I love your style of writing. It’s inspiring, and I am happy with your writing style... MM
JibuFutaI really appreciate reading this blog it is very impressive and informative content... MM
JibuFutaI was very happy to locate this web-site. I wished to thanks for this fantastic read!... MM
JibuFutaVery informative the stuff you provide I really enjoyed reading, Thanks for this... MM
JibuFutaAmazing piece of article, best information there, thanks for sharing... MM
JibuFutaIt's inspiring to see leaders like Dkt. Aifello Sichalwe emphasizing the importance of quality healthcare services. His call for professional development and ethical practices is crucial. Encouraging healthcare providers to enhance their skills benefits both the profession and snake game
JibuFutaMaoni haya yameondolewa na mwandishi.
JibuFutaAny community should offer the best services to the citizens and programs such as cichai wf can help. As students need to find the support that they may rely on, the residents obtain efficient and trustful services. To individuals who need to be guided in their studies, websites such as assignment help sheffield can provide professional guidance in order to keep pace and achieve success. Quality support, be it in education or in civic services, is indeed an easy way out.
JibuFuta