Dkt. Dorothy GwajimaWaziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Na. WAMJW-KahamaSerikali imeweka mikakati ya kuwabaini na kuwachukulia hatua za kisheria na kitaaluma kikundi cha watu wachache ambao wamekuwa na tabia ya kuiba dawa za Serikali...
Ijumaa, 29 Januari 2021
Jumapili, 24 Januari 2021
SERIKALI YASIKITISHWA NA KITENDO CHA ASKALI KUMPIGA NDUGU WA MGONJWA.
Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi akielezea tukio la askari wa ulinzi (SUMA-JKT) aliyetuhumiwa kumpiga ndugu wa mgonjwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga. SERIKALI YASIKITISHWA NA KITENDO CHA ASKALI KUMPIGA NDUGU WA MGONJWA. Na WAMJW-...
Ijumaa, 15 Januari 2021
DKT. MOLLEL AWAFUNDA WAFAMASIA WANAOINGIA KATIKA TAALUMA.
Naibu Waziri Dkt. Godwin Mollel akiongea wakati wa mahafali ya wahitimu wa famasia wanaoingia kwenye taaluma,mahafali hayo yamefanyika kwenye Jijini Dodoma. Msajili wa Baraza la Famasi Elizabeth Shekalaghe akiongea wakatibwa mahafali hayo ambapo wahitimu 252 walikula kiapo na...
Jumamosi, 9 Januari 2021

SIMAMIENI MAADILI NA WELEDI - DKT. GWAJIMA
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Gwajima akiongea wakati wa kikao kazi hicho ambapo aliwataka viongozi hao kutekeleza ipasavyo Ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020 ya Chama cha Mapinduzi. Baadhi wa watendaji wa wizara...
Jumatano, 6 Januari 2021

VIONGOZI SEKTA YA AFYA TATUENI KERO ZA WANANCHI - PROF. MAKUBI
Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi akieleza jambo mara baada ya kufanya kikao na Viongozi wakuu wa sekta ya afya kwa njia ya mtandao"ZOOM" kilichowajumuisha Waganga wakuu wa Mikoa na Wilaya,Wajumbe wa kamati ya usimamizi wa...