Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Ijumaa, 29 Januari 2021

WIZARA YA AFYA KUWACHUKULIA HATUA WADOKOZI WA DAWA

Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto 

Na. WAMJW-Kahama


Serikali imeweka mikakati ya kuwabaini na kuwachukulia hatua za kisheria na kitaaluma  kikundi cha watu wachache ambao wamekuwa na tabia ya kuiba dawa za Serikali kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini.


Hayo yameelezwa jana na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima wakati wa kutoa salamu za wizara yake  kwa wakazi wa wilaya ya Kahama kwenye ziara ya kikazi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.


Dkt. Gwajima alisema kuwa kumekuwa na kikundi cha watu wachache kwenye eneo  la kutumia ambalo limeshindwa kubadilika kutokana na watumishi hao kukosa uzalendo wa mali za nchi yao.


“Kikundi hicho tutakibaini na kuwachukulia hatua za kisheria kwani wamekuwa wakikwaza wanachi ambao wanaenda kupata huduma na kusababisha kukosa dawa kwa kudokoa  dawa na hivyo kurudisha nyuma maendeleo ya Serikali”.


Aidha, alisema Serikali kupitia Mabaraza ya kitaaluma na utumishi wa umma watapambana kwa pamoja na kikundi hicho ili dhana ya kutunza rasiliamali ya nchi itimie,“mbali na hatua za mahakamani watumishi wasio waadilifu watawajibika kwenye hatua za mwajiri na mabaraza yao ya kitaaluma”.Alisisitiza Dkt. Gwajima.


Alisema Serikali imewekeza fedha nyingi kwenye eneo la dawa  ila  bado kumekuwa na changamoto kwa upande wa matumizi hali hiyo imetokana na baadhi ya watumishi wa sekta hiyo kushindwa kubadilika na kusababisha ukosefu wa dawa kwenye vituo vya kutolea huduma za afya.


Kwa upande wa Mabaraza ya Kitaaluma Dkt. Gwajima alisema watayahoji Mabaraza ya kitaaluma kama kuna sababu ya kuendelea na ajira kwani kama mtaaluma amekosa maadili  na hivyo kurudisha nyuma sekta ya afya nchini na utumishi wa umma kwa ujumla


Hata hivyo Dkt. Gwajima aliwashukuru wananchi kwa kuendelea kutuma maoni, taarifa na ushahidi kwa namba ya simu aliyoitoa mwishoni mwa mwaka hivyo kumuhakikishia Mhe. Rais kwamba wizara yake itapambana kikundi hicho  na kuwataka wananchi waendelee kumtumia maoni ili kuweza kuwabaini wale wote ambao wamekosa uzalendo kwenye utendaji kazi wa utumishi wa umma hapa nchini.

33 on: " WIZARA YA AFYA KUWACHUKULIA HATUA WADOKOZI WA DAWA"
  1. I found so many interesting stuff in this blog. Really its great article. Keep it up

    JibuFuta
  2. Wow, happy to see this awesome post. Thanks for sharing a great information

    JibuFuta
  3. Fantastic post! Please keep sharing post like this. Thanks, have a good day.

    JibuFuta
  4. I like it whenever people come together and share thoughts. Great website, continue the good work!

    JibuFuta
  5. I am overwhelmed by your post with such a nice topic.

    JibuFuta
  6. Simply unadulterated brilliance from you here. I have never expected something not as much as this from you.

    JibuFuta
  7. I am really grateful for your blog post for giving a lot of information

    JibuFuta

  8. Thanks for your personal marvelous posting!

    JibuFuta
  9. I quite enjoyed reading it, you happen to be a great author.

    JibuFuta

  10. I was checking constantly this blog and I'm impressed!

    JibuFuta
  11. Very helpful info particularly the last part :)

    JibuFuta
  12. I was seeking this particular info for a long time.

    JibuFuta
  13. A blog is a regularly updated online platform where individuals or groups share information, opinions, or experiences on various topics. Blogs can be personal, serving as online diaries, or professional, focusing on specific subjects like technology, fashion, or business. They often encourage reader engagement through comments and discussions. Regular blogging can enhance writing skills, establish authority in a field, and foster community building. Additionally, blogs can drive website traffic and support marketing efforts.
    New Jersey Federal Criminal Lawyer
    DC Federal Criminal Lawyer

    JibuFuta
  14. Wow! This blog looks exactly like my old one! D.

    JibuFuta
  15. Hi there, I read your blogs on a regular basis. D.

    JibuFuta
  16. I've got you book-marked to look at new stuff you post… D.

    JibuFuta
  17. Thanks for sharing such a wonderful post.

    JibuFuta

  18. Excellent and nice post. It will beneficial for everyone.

    JibuFuta
  19. I must thank you for the efforts you’ve put in writing this blog.

    JibuFuta
  20. I’ll oftimes be once more to learn to read much more, many thanks that information

    JibuFuta
  21. Now I fianlly found which I actually want.

    JibuFuta
  22. Thanks for your excellent blog and giving great kind of information.

    JibuFuta
  23. Interesting post! While the topic is different, it’s a good time to mention the growing interest in the Quant Small Cap Fund. Investors can keep track of the Quant Small Cap Fund NAV to evaluate its progress over time. Both the Quant Small Cap Fund Regular and Quant Small Cap Fund Regular Growth are solid choices. If you’re exploring Quant Small Cap Fund Growth or considering the Best SIP, this SIP offers a strong potential for long-term financial growth.

    JibuFuta
  24. Excellent write-up. I absolutely appreciate this website. Keep writing!
    -ag

    JibuFuta
  25. Feel free to surf to my homepage ...
    -ag

    JibuFuta
  26. Hi colleagues, nice piece of writing and pleasant arguments commented
    here, I am truly enjoying by these.
    -ag

    JibuFuta

  27. This is very attention-grabbing, You’re an overly skilled blogger.
    -ag

    JibuFuta
  28. I have joined your feed and sit up for in search of extra of your excellent post.-ag

    JibuFuta
  29. Also, I have shared your site in my social networks-ag

    JibuFuta