Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumamosi, 29 Juni 2019

HUDUMA ZA DHARURA KWA WAJAWAZITO ZAENDELEA KUSAMBAA NCHINI

- Hakuna maoni

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akisisitiza  jambo mbele ya wananchi (hawapo kwenye picha) wakati wa matembezi ya hisani yanayolenga kuwezesha uwepo wa Wakunga kwa uzazi salama. Waziri wa...

Jumatano, 26 Juni 2019

BODI ZA HOSPITALI ZA RUFAA ZATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO

- Hakuna maoni

Katibu Mkuu Wizara ya Afya akisema jambo kwa wajumbe wa Bodi ya Ushauri wa Hospitali za Rufaa za Mikoa (hawako pichani) katika Kikao kazi kilichofanyika jana Jijini Dodoma. Wajumbe wa Bodi ya Ushauri wa Hospitali za...

Jumanne, 25 Juni 2019

WAZIRI WA AFYA ASISITIZA UBORA WA BIDHAA KATIKA KIWANDA KIPYA CHA DAWA NA VIFAATIBA SIMIYU.

- Hakuna maoni

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu (kushoto) akimkabidhi vitendea kazi Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kiwanda cha Dawa na Vifaatiba kwa Profesa Olipa David Ngassapa (kulia) Waziri wa...

DKT. CHAULA AWAFUNDA WAKUU WA VYUO VYA AFYA VYA SERIKALI

- Hakuna maoni

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Zainab Chaula akieleza jambo wakati akifungua Mkutano wa Wakuu wa Vyuo vya Afya vya Serikali uliofanyika Jijini Dodoma. Mkurugenzi wa Mafunzo Wizara ya...

Ijumaa, 21 Juni 2019

KAULI YA SERIKALI KUHUSU MLIPUKO WA UGONJWA WA HOMA YA DENGUE NCHIN

- Hakuna maoni

KAULI YA SERIKALI KUHUSU MLIPUKO WA UGONJWA WA HOMA YA DENGUE...

SERIKALI YAAGIZA KILA KIFO KINACHOTOKEA KUFANYIWA UFUATILIAJI

- Hakuna maoni

Mkurugenzi wa Kinga kutoka Wizara ya Afya Dkt. Leonard Subi akisisitiza jambo mbele ya  Wasimamizi wa huduma za Afya katika jiji la Dar es Salaam (RHMT) wakati alipokutana na  kujadiliana mbinu mbali mbali ili kuweza kukabiliana...

Jumatano, 19 Juni 2019

PAMBA ZA KUTOA UCHAFU MASIKIONI ZATAJWA KUSABABISHA MATATIZO YA USIKIVU

- Hakuna maoni

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akifafanua jambo kutoka kwenye kitabu cha Mpango Mkakati wa Masuala ya Masikio na Usikivu leo Jijini kabla ya kuzindua mpango huo. Dkt. Bill...

Jumatatu, 17 Juni 2019

SERIKALI YAENDELEA KUSOGEZA HUDUMA ZA FIGO KWA WANANCHI

- Hakuna maoni

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Faustine Ndugulile akimshukuru Naibu Balozi wa Saudi Arabia baada ya makabidhiano ya mashine 62 za kusafishia damu kwa wagonjwa wa figo, tukio limefanyika leo...

Ijumaa, 14 Juni 2019

SERIKALI KUONGEZA IDADI VITUO VYA UCHANGIAJI DAMU SALAMA

- Hakuna maoni

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu pamoja na viongozi wa kutoka Wizara ya Afya wakiongea na moja kati ya watu waliojitokeza kuchangia damu, katika Maadhimisho ya Siku ya Wachangia Damu...

Page 1 of 102123»