Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akisisitiza jambo mbele ya wananchi (hawapo kwenye picha) wakati wa matembezi ya hisani yanayolenga kuwezesha uwepo wa Wakunga kwa uzazi salama. Waziri wa...
Jumamosi, 29 Juni 2019
Jumatano, 26 Juni 2019

BODI ZA HOSPITALI ZA RUFAA ZATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO
Katibu Mkuu Wizara ya Afya akisema jambo kwa wajumbe wa Bodi ya Ushauri wa Hospitali za Rufaa za Mikoa (hawako pichani) katika Kikao kazi kilichofanyika jana Jijini Dodoma. Wajumbe wa Bodi ya Ushauri wa Hospitali za...
Jumanne, 25 Juni 2019

WAZIRI WA AFYA ASISITIZA UBORA WA BIDHAA KATIKA KIWANDA KIPYA CHA DAWA NA VIFAATIBA SIMIYU.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu (kushoto) akimkabidhi vitendea kazi Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kiwanda cha Dawa na Vifaatiba kwa Profesa Olipa David Ngassapa (kulia) Waziri wa...
DKT. CHAULA AWAFUNDA WAKUU WA VYUO VYA AFYA VYA SERIKALI
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Zainab Chaula akieleza jambo wakati akifungua Mkutano wa Wakuu wa Vyuo vya Afya vya Serikali uliofanyika Jijini Dodoma. Mkurugenzi wa Mafunzo Wizara ya...
Ijumaa, 21 Juni 2019

KAULI YA SERIKALI KUHUSU MLIPUKO WA UGONJWA WA HOMA YA DENGUE NCHIN

SERIKALI YAAGIZA KILA KIFO KINACHOTOKEA KUFANYIWA UFUATILIAJI
Mkurugenzi wa Kinga kutoka Wizara ya Afya Dkt. Leonard Subi akisisitiza jambo mbele ya Wasimamizi wa huduma za Afya katika jiji la Dar es Salaam (RHMT) wakati alipokutana na kujadiliana mbinu mbali mbali ili kuweza kukabiliana...
Jumatano, 19 Juni 2019

PAMBA ZA KUTOA UCHAFU MASIKIONI ZATAJWA KUSABABISHA MATATIZO YA USIKIVU
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akifafanua jambo kutoka kwenye kitabu cha Mpango Mkakati wa Masuala ya Masikio na Usikivu leo Jijini kabla ya kuzindua mpango huo. Dkt. Bill...
Jumatatu, 17 Juni 2019
SERIKALI YAENDELEA KUSOGEZA HUDUMA ZA FIGO KWA WANANCHI
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Faustine Ndugulile akimshukuru Naibu Balozi wa Saudi Arabia baada ya makabidhiano ya mashine 62 za kusafishia damu kwa wagonjwa wa figo, tukio limefanyika leo...
Ijumaa, 14 Juni 2019
SERIKALI KUONGEZA IDADI VITUO VYA UCHANGIAJI DAMU SALAMA
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu pamoja na viongozi wa kutoka Wizara ya Afya wakiongea na moja kati ya watu waliojitokeza kuchangia damu, katika Maadhimisho ya Siku ya Wachangia Damu...