Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamoi, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akimuangalia mtoto aliyeletwa kliniki ya kituo cha Afya cha Makole kilichopo Jijini Dodoma kwa ajili ya kupata chanjo wakati alipotembelea kituo hicho kwa ajili...
Jumatano, 24 Aprili 2019
Jumanne, 23 Aprili 2019
SERIKALI YA CHINA YAAHIDI KUCHANGIA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA NCHINI
Mratibu wa ushirikiano wa Tanzania na China kwenye eneo la sekta ya afya Dkt. Ligile Vumilia akiongea mbele ya wajumbe wa kikao cha Menejimenti ya wizara ya afya mapema leo. Wajumbe wa kikao cha menejimenti ya...
Alhamisi, 18 Aprili 2019

WAZIRI UMMY ATEMBELEWA NA BALOZI WA NORWAY JIJINI DODOMA
Na WAJMW-Dodoma Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Norway nchini Bi. Elisabeth Jacobsen katika ofisi za Wizara zilizopo jijini Dodoma. Katika mazungumzo...
Jumatatu, 15 Aprili 2019
VIONGOZI WA DINI NA WAGANGA WA TIBA ASILI NI NGUZO MUHIMU KATIKA KUTOKOMEZA TB NCHINI
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akiongea na Wadau wa kupambana dhidi ya ugonjwa wa Kifua Kikuu katika ufunguzi wa Mkutano wakwanza wa wadau wenye lengo la ushirikiano katika...
Jumamosi, 13 Aprili 2019
RAIS MAGUFULI AZINDUA MJI WA SERIKALI JIJINI DODOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifungua jiwe la msingi ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa ofisi za wizara mbalimbali ambazo zimejengwa katika kata ya Ntumba nje kidogo ya Jiji la...
Alhamisi, 11 Aprili 2019

SERIKALI YATOA TAHADHARI KUHUSU UGONJWA WA DENGUE NCHINI
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akitoa tahadhari kuhusu kuzuka kwa ugonjwa wa Dengue nchini. Kushoto ni Mganga mkuu wa Serikali Prof. Mohammed Kambi Na WAJMW-DODOMA Serikali kupitia...
Jumatano, 10 Aprili 2019

HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA NJOMBE KUANZA KUTOA HUDUMA MWEZI JULAI, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika Hospitali...
Jumanne, 9 Aprili 2019
DAWA MUHIMU ZAIDI YA 300 ZINAPATIKA KATIKA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akikagua dawa zilizopo katika Hospitali Teule ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe. Ukaguzi wa hali ya utoaji huduma ukiendelea katika Hospitali...
Jumatatu, 8 Aprili 2019
WATOA HUDUMA ZA TIBA ASILI WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA IMANI ZA KISHIRIKINA KATIKA HUDUMA ZAO
Picha mbalimbali zikionesha Maafisa kutoka Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala wakiongozwa na Msajili Dkt. Ruth Suza wakitoa elimu kwa Waganga wa Tiba Asili na Tiba Mbadala katika Mikoa ya Kagera, Geita na Mwanza. WATOA...