Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumanne, 15 Oktoba 2019

MAAMBUKIZI YA VVU YAZIDI KUPUNGUA NCHINI


Katibu Mkuu Dkt. Zainab Chaula akielezea jambo mbele ya kamati ya bunge ya kudumu ya masuala ya UKIMWI wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya mpango ya taifa wa kudhibiti UKIMWI katika kipindi cha mwaka 2018/2019 katika ukumbi mdogo wa Bunge jijini Dodoma.


Baadhi ya Wabunge walio katika kamati ya bunge ya kudumu ya masuala ya UKIMWI wakifuatilia uwasilishwaji wa taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya mpango ya taifa wa kudhibiti UKIMWI katika kipindi cha mwaka 2018/2019 katika ukumbi mdogo wa Bunge jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya masuala ya UKIMWI Mhe. Oscar Mukasa (kulia) akifafanua jambo wakati taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya mpango ya taifa wa kudhibiti UKIMWI katika kipindi cha mwaka 2018/2019 iliyowasilishwa na Wizara na Afya katika ukumbi mdogo wa Bunge jijini Dodoma.


Baadhi ya Wakurugenzi kutoka idara mbalimbali za Wizara ya Afya wakifuatilia uwasilishwaji wa  taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya mpango ya taifa wa kudhibiti UKIMWI katika kipindi cha mwaka 2018/2019 katika ukumbi mdogo wa Bunge jijini Dodoma.

0 on: "MAAMBUKIZI YA VVU YAZIDI KUPUNGUA NCHINI"