Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumatano, 4 Julai 2018

GLOBAL FUND YARIDHISHWA NA UTENDAJI WA WIZARA YA AFYA NCHINI.





Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akizungumza wakati wa kikao na wawakilishi wa Mfuko wa Pamoja wa Dunia wa kushughulikia magonjwa ya TB,Maralia na Ukimwi(GLOBAL FUND)  hawapo pichani kilichofanyika katika Ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es salaam.

Mkurugenzi wa Mfuko wa Pamoja wa Dunia wa kushughulikia magonjwa ya TB,Maralia na Ukimwi (GLOBAL FUND)  hapa nchini Dkt. Sai Kumar kulia akimueleza jambo Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati wa kikao cha kujadili mambo mbalimbali ya afya kilichofanyika katika Ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es salaam.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu kulia  akizungumza na Naibu Waziri wake Dkt. Faustine Ndugulile kushoto wakati wa kikao na wawakilishi wa Mfuko wa Pamoja wa Dunia wa kushughulikia magonjwa ya TB,Maralia na Ukimwi (GLOBAL FUND)  hawapo pichani kilichofanyika katika Ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es salaam.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu katikati akizungumza wakati wa kikao na wawakilishi wa Mfuko wa Pamoja wa Dunia wa kushughulikia magonjwa ya TB,Maralia na Ukimwi (GLOBAL FUND) kilichofanyika katika Ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es salaam. Kulia ni Naibu Waziri wa Afya Dkt. Faustine Ndugulile.


Na WAMJW-DSM
 
Mfuko wa pamoja wa  Dunia wa kupambana na magonjwa ya UKIMWI,Malaria na Kifua Kikuu (GLOBAL FUND) umeridhishwa kwa kiasi kikubwa na Jinsi Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya katika kupambana na magonjwa hayo.

Pamoja na hayo Wawakilishi wa Mfuko huo hapa Nchini wamesema kuwa kutokana na mwenendo mzuri wa Tanzania katika kutumia vizuri Mfuko huo sasa wanaweza kuanzisha kitu kingine kizuri kwa ajili ya kuboresha sekta ya afya na kupeleka mapendekezo na kukubaliwa.

Malengo ya kikao hiko  kati ya Global Fund na Wizara ya Afya ilikuwa ni kujadili ,kupanga na kuboresha Sekta ya Afya nchini.

0 on: "GLOBAL FUND YARIDHISHWA NA UTENDAJI WA WIZARA YA AFYA NCHINI."