Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Ijumaa, 17 Agosti 2018

PICHA MBALI MBALI ZA MATUKIO YA KUFUNGA KWA MKUTANO WA WAGANGA WAKUU WA MIKOA NA HALMASHAURI.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya akiongea na Waganga wakuu wa Mikoa na Halmashauri wakati wa kufunga mkutano wa Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri hawapo pichani ,kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa OR-TAMISEMI Dkt. Zainabu Chaula .
 
 Mkurugenzi wa Utawala na Rasirimali watu kutoka Wizara ya Afya Deodata Makani akiongea na Waganga wakuu wa Mikoa na Halmashauri wakati wa kufunga mkutano wa Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri  hawapo pichani uliofanyika jijini Dodoma.

Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri wakifuatilia kwa makini maada mbalimbali zilizokuwa zinatolewa na wawasilishaji mbalimbali hawapo pichani wakati wa kufunga mkutano wa Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri uliofanyika jijini Dodoma.

0 on: "PICHA MBALI MBALI ZA MATUKIO YA KUFUNGA KWA MKUTANO WA WAGANGA WAKUU WA MIKOA NA HALMASHAURI."