Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumatatu, 16 Oktoba 2017

Balozi wa Cuba mhe. Jorge Luis amuaga waziri Ummy

Balozi wa Cuba nchini Tanzania Mhe. Jorge Luis amuga Waziri wa Afya,maendeleo ya Jamii Jinsia,Wazee na watoto Ummy mwalimu leo ofisini kwake,Balozi Luis amemaliza muda wake na hivyo kurejea nchini Cuba Waziri Ummy mwalimu amesema anaishukuru nchi ya Cuba kwa ushirikiano wao wa kuisaidia Tanzania kwenye sekta ya afya hususani kwenye mafunzo na kuleta madaktari kufanya kazi nchini Tanzania(picha na Wizara ya Afya)

0 on: "Balozi wa Cuba mhe. Jorge Luis amuaga waziri Ummy"