Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumanne, 17 Oktoba 2017

NAIBU WAZIRI WA AFYA ATEMBELEA MSD


Picha yapamoja ikiongozwa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Faustine Ndugulile wakati alipotembelea katika Bohari Kuu ya Dawa (MSD) mapema leo ili kujionea shughuli mbali mbali za utendaji zinazoendelea katika eneo hilo.






Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Faustine Ndugulile akisisitiza jambo pindi alipokuwa akisomewa taarifa ya utendaji ya MSD kuhusu usambazaji wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi vya maabara, tukio lililojiri mapema leo katika viunga vya Bohari Kuu ya Dawa jijini Dar es salaam.





 Mkurugenzi Mkuu wa Bohari  Laurean Bwanakunu akisoma taarifa fupi kuhusu utendaji wa taasisi hiyo mbele ya Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Faustine Ndugulile pindi alipofanya ziara katika viunga vya Bohari mapema leo jijini Dar es salaam.

0 on: "NAIBU WAZIRI WA AFYA ATEMBELEA MSD"