Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumatatu, 23 Oktoba 2017

MH. UMMY MWALIMU (MB) AKABIDHI MASHINE ZA UCHUNGUZI SARATANI.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu akisisitiza jambo mbele ya waandishi wa Habari (hawapo kwenye picha) wakati wakati akikabidhi  vifaa vya uchunguzi wa Saratani kwa Bohari ya Dawa (MSD), tukio lililofanyika mapema leo katika ofisi ndogo za Wizara ya Afya jijini Dar es salaam, pembeni yake ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mh. Faustine Ndugulile




Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu  pamoja na Naibu Waziri wake Dkt. Faustine Ndugulile wakipokea vifaa vya uchunguzi wa magonjwa ya Saratani kutoka kwa Mkurugenzi  wa ugavi na ununuzi Wizara ya Afya Casto Simba katika tukio lililofanyika mapema leo jijini Dar es salaam.








Waandishi wa habari wakifuatilia kwa umakini taarifa iliyokuwa ikitolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu kuhusu Saratani wakati akikabidhi  vifaa vya uchunguzi wa Saratani kwa Bohari ya Dawa (MSD) mapema leo jijini Dar es salaam.
 







Waandishi wa habari kutoka vituo mbali mbali hapa nchini wakifanya kazi yao kwenye  tukio la kukabidhi  vifaa vya uchunguzi wa magonjwa ya Saratani kwa Bohari (MSD),tukio  lililofanyika mapema leo katika ofisi ndogo za Wizara ya Afya jijini Dar es salaam










Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu akitete jambo na Naibu wake Mh. Faustine Ndugulile wakati wa tukio la kukabidhi  vifaa vya uchunguzi wa magonjwa ya Saratani lililofanyika mapema leo

0 on: "MH. UMMY MWALIMU (MB) AKABIDHI MASHINE ZA UCHUNGUZI SARATANI."