Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumanne, 31 Oktoba 2017



Naibu Waziri Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt.Faustine Ndugulile akiwasilisha taarifa ya utendaji wa shughuli za Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania(TFNC) mbele ya  Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamiii inayoongozwa na Mwenyekiti wake Peter Serukamba(wa kwanza kulia) leo mjini Dodoma,ambapo imeonekana tatizo la ulaji wa chakula bora kwa Watanzania bado ni tatizo kubwa.




Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt.Vicent Assey akijibu maswali ya wajumbe wa kamati hiyo ambapo ilionekana licha ya uzalishaji chumvi kwa wingi bado kaya zinazotumia chumvi yenye madini joto bado ipo chini kwa asilimia 30 kwenye Mikoa ya Simiyu,Mtwara na Lindi.wakati kiwango cha mahitaji ya mwili ni asilimia 61 kwa takwimu za mwaka 2015/2016 hivyo kiwango hicho kimepanda kutoka asilimia 47 cha mwaka 2010.


Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamiii wakifuatilia kwa umakini uwasilishaji wa taarifa kutoka kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Faustine Ndugulile(Hayupo kwenye picha) leo jijini Dodoma.




















0 on: " "