Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumatatu, 30 Aprili 2018

WIZARA YA AFYA YAZINDUA MFUMO WA TEHAMA KWA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA NCHINI.

- Hakuna maoni

Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe.Dkt.Faustine Ndugulile akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Mwongozo wa viwango vya Msingi kwa vituo vya kutolea huduma za Afya katika ukumbi wa LAPF leo Jijini Dodoma, Kulia...

Jumamosi, 28 Aprili 2018

MATIBABU YA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI NI BURE.

- Hakuna maoni

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akiongea na mmoja ya wanawake waliofika kupima Saratani ya mlango wa Kizazi katika kituo cha Ngamiani Mkoani Tanga, wakati alipozindua Kampeni hiyo Mkoani hapo. Waziri...

Jumatano, 25 Aprili 2018

MALARIA YASHUKA MPAKA ASILIMIA 7. 3 NCHINI

- Hakuna maoni

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu akipokea maelezo kutoka kwa mwakilishi wa kianda cha kutengeneza vyandarua cha (A to Z) Textile Bw. Slyvester Kazi wakati wa maadhimisho ya siku ya...

MARUFUKU KUUZA DAWA YA MALARIA.

- Hakuna maoni

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu akimjulia hali mtoto aliyefika na mama yake katika Zahanati ya Mwandiga ili kupata huduma za Afya wakati akikagua ubora wa  huduma zitolewazo katika Zahanati...

Jumatatu, 23 Aprili 2018

DKT. SUBI AFUNGUA MECHI YA FAINALI YA MASHINDANO YA KOMBE LA MALARIA, KIGOMA.

- Hakuna maoni

Mkurugenzi wa Kinga kutoka Wizara ya Afya, Maendeleoya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Leonard Subi akikagua kikosi cha timu ya Sabasaba wakati wa mchezo wa kumtafuta bingwa wa Mashindano ya kombe la Malaria wa Wilaya ya Kigoma...

Ijumaa, 20 Aprili 2018

HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA AFYA 2018/2019

Katika kipindi cha Mwaka 2017/2018, Wizara ilisimamia shughuli za utoaji wa chanjo kwa   watoto ili kuhakikisha kuwa malengo yaliyowekwa kitaifa na kimataifa yanafikiwa. Takwimu za Januari hadi Desemba 2017 zinaonyesha kuwa asilimia101.2 ya Watoto waliolengwa nchini...

Alhamisi, 19 Aprili 2018

SUMMARY OF THE BUDGET SPEECH FOR THE FINANCIAL YEAR 2018/19 DELIVERED BY THE MINISTER OF HEALTH, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER, ELDERLY AND CHILDREN, HONOURABLE UMMY A. MWALIMU (MP)

- Hakuna maoni

SUMMARY OF THE BUDGET SPEECH FOR THE FINANCIAL YEAR 2018/19 DELIVERED BY THE MINISTER OF HEALTH, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER, ELDERLY AND CHILDREN, HONOURABLE UMMY A. MWALIMU (MP) A. INTRODUCTION 1.          Honourable Speaker, following the report tabled...

Page 1 of 102123»