Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumatatu, 19 Machi 2018

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (wakatikati) akiongozana na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu (wakwanza kushoto) na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. Mpoki Ulisubisya (wa mwisho kulia), wakiwa katika kikao cha kimataifa cha masuala ya Afya ambacho kimejumuisha nchi za Afrika Mashariki, Afrika ya kati na Afrika ya Kusini, kikao hicho kimefanyika jijini Dar es salaam.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akihutubia mbele ya Wadau wa masuala ya Afya wakiongozwa na Mawaziri kutoka nchi za Afrika Mashariki, Afrika ya kati na Afrika ya Kusini katika mkutano wa kimataifa wa masuala ya Afya uliofunguliwa leo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akifungua Mkutano wa kimataifa wa masuala ya Afya, uliohudhuliwa na Mawaziri kutoka nchi za Afrika Mashariki, Afrika ya kati na Afrika ya Kusini.

Picha ya pamoja ikiongozwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa na Wadau wa masuala ya Afya kutoka nchi mbali mbali za Afrika Mashariki, Afrika ya kati na Afrika ya Kusini wakati wa kikao cha kimataifa cha kujadili masuala ya Afya kilichofanyika jijini Dar es salaam.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akimsalimia moja kati ya Wadau wa afya baada ya kumaliza kikao cha kimataifa cha kujadili masuala ya Afya kilichofanyika jijini Dar es salaam.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akimtembeza Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa katika banda la Bohari ya Dawa (MSD) mda mchache baada ya kumalizika kwa Mkutano wa kimataifa wa masuala ya Afya uliofanyika jijini Dar es salaam.

0 on: " "