Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumatano, 21 Machi 2018

DALILI ZA DENGUE HIZI HAPA, MHE. UMMY MWALIMU




WAZIRI wa Afya, Maendeleo yaJamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu a mewashauri wananchi kwenda vituo vya tiba haraka mara baada ya kugundua kuwa wana dalili za ugonjwa wa dengue.

Hayo ameyasema wakati alipotoa tamko juuya kuingia kwa ugonjwa wa dengue hapa nchini mara baada ya kufunga Mkutano  wa 65 wa Jumuiya ya Mawaziriwa Afya wa Nchi za Afrika Mashariki, Kati na Kusini ECSA leo jijini Dar essalaam.

“Kuna dalili za Ugonjwa Dengue zikiwemo homa ya ghafla, kuumwa kichwa hususan sehemu za macho, maumivu ya viungo  na uchovu. Dalili hizi huanza kujitokeza kati ya siku 3 hadi 14 tangu mtu alipoambukizwa virusi vya homa ya Dengue hivyo Wizara inashauri kuwa wananchi wasiwe na hofu, bali mara tu  anapoona dalili za ugonjwa waende katika vituovya tiba" alisema Waziri Ummy.

0 on: "DALILI ZA DENGUE HIZI HAPA, MHE. UMMY MWALIMU"