Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Ijumaa, 29 Machi 2019

CHANJO YA MLANGO WA KIZAZI NI SALAMA

- Hakuna maoni

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa hafla ya uzinduzi wa Jengo na mashine za tiba ya saratani. Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,...

Alhamisi, 28 Machi 2019

SERIKALI YAOKOA BILIONI KUMI ZA CHANJO

- Hakuna maoni

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe Ummy Mwalimu (wakatikati) akikagua chumba cha kuhifadhia chanjo pindi alipofanya ziara ya kukagua ujenzi wa jengo la chanjo, katika   eneo la Mabibo Jijini Dar es...

Jumatano, 27 Machi 2019

SERIKALI YAZINDUA MFUMO WA MATIBABU KWA MTANDAO

- Hakuna maoni

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan akibofya batani, ikiwa ni ishara ya kuzindua Mfumo mpya wa utoaji huduma za afya kwa njia ya mtandao,  katika Mkutano wa 27 wa masuala ya Sayansi na Afya uliowakutanisha mawaziri...

Jumamosi, 23 Machi 2019

SERIKALI YAENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA KIFUA KIKUU (TB)

- Hakuna maoni

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu (kushoto) akitoa dawa za Kifua Kikuu kwa Bw. Abbas Sudi alipotembelea Hospitali ya Mbagala Jijini Dar Es Salaam kujionea hali ya utoaji huduma...

VIFO VYA WAMAMA WAJAWAZITO VYAPUNGUA KWA ZAIDI YA 40%

- Hakuna maoni

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akikata utepe kuashiria ufunguzi wa jengo la wagonjwa wa kulipia hospitali ya CCBRT Jijini Dar es salaam.Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa CCBRT Brenda...

KAMATI YA BUNGE YAKUDUMU YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAFANYA ZIARA HOSPITALI YA TUMBI-PWANI

- Hakuna maoni

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akijibu hoja za baadhi ya Wabunge ambao ni wanakamati ya Bunge ya kudumu ya huduma na Maendeleo ya Jamii wakati wa ziara yao...

Alhamisi, 21 Machi 2019

HOSPITALI ZA MIKOA ZATAKIWA KUONGEZA UBUNIFU ILI KUWEZA KUJIENDESHA

- Hakuna maoni

Kaimu Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Huduma ya Maendeleo ya Jamii ambae pia ni Mbunge wa Biharamulo  Mhe. Oscar Mukasa akiteta jambo na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt....

Jumanne, 19 Machi 2019

TANZANIA YATOA MSAADA KWA MSUMBIJI, ZIMBABWE NA MALAWI

- Hakuna maoni

Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Kimataifa Prof. Palamagamba Kabudi akimkabidhi boksi la dawa Balozi wa Malawi nchini Tanzania Mhe. Glad Chembe Munthali (Wakwanza kushoto), Watatu kushoto ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,...

Page 1 of 102123»