Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumamosi, 9 Desemba 2017

DKT. NDUGULILE AFANYA ZIARA KATIKA CHUO CHA AFYA NA MAZINGIRA WILAYANI MPWAPWA.

Naibu Waziri  wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na watoto Dkt. Faustine Ndugulile wa kwanza kulia akimjulia hali mgonjwa aliyelazwa katika kituo cha afya cha kibakwe wakati wa ziara yake katika Kijiji hiko  wilani Mpwapwa mkoani Dodoma.


Naibu Waziri  wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na watoto Dkt. Faustine Ndugulile katikati aliyevaa shati la bluu akiongea na baadhi ya wananchi na watumishi wa afya wa kituo cha afya cha Kibakwe kuhusu changamoto na maendeleo ya sekta ya afya katika Kijiji hicho wakati wa ziara yake wilani Mpwapwa mkoani Dodoma.

Naibu Waziri  wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na watoto Dkt. Faustine Ndugulile akikagua dawa zilizopo kwenye stoo ya dawa ya Kituo cha afya cha  Kibakwe  wakati wa ziara yake katika Kijiji hiko  wilani Mpwapwa mkoani Dodoma.

Naibu Waziri  wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na watoto Dkt. Faustine Ndugulile wa kwanza kulia akiwajulia hali wagonjwa waliolazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma wakati wa ziara  yake leo wilayani humo.

Naibu Waziri  wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na watoto Dkt. Faustine Ndugulile wa pili kushoto akiongea na baadhi ya watumishi wa Chuo Cha Afya na Mazingira Mpwapwa alipotembelea chuo hiko wakati wa ziara yake wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma, wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Chuo hiko Bw. Rogasian Tarimo.

Naibu Waziri  wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na watoto Dkt. Faustine Ndugulile mbele aliyevaa shati la bluu akisikiliza changamoto kutoka kwa  badhi ya wanafunzi wa mwaka wa pili fani ya udaktari katika Chuo Cha Afya na Mazingira Mpwapwa alipotembelea chuo hiko wakati wa ziara yake wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma.

Picha ya pamoja ikiongozwa na Naibu Waziri  wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na watoto Dkt. Faustine Ndugulile wakati wa ziara yake katika Chuo Cha Afya na Mazingira  wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma.

0 on: "DKT. NDUGULILE AFANYA ZIARA KATIKA CHUO CHA AFYA NA MAZINGIRA WILAYANI MPWAPWA."