Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumatatu, 4 Desemba 2017

MKUTANO WA 18 WA MWAKA WA MAPITIO YA UTEKEKELEZAJI NA UTENDAJI KATIKA SEKTA YA AFYA

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt.Mpoki Ulisubisya (kulia) akibadilishana mawazo na Mganga Mkuu wa Serikali Profesa  Muhammad Bakari kambi wakati wa Mkutano wa 18 wa mwaka wa mapitio ya utekelezaji na utendaji katika sekta ya afya nchini.

Watumishi wa Idara ya Sera na Mipango wakifuatilia ufunguzi wa Mkutano wa 18 wa mwaka wa mapitio ya utekelezaji na utendaji katika sekta ya afya nchini.


Baadhi ya wakurugenzi na wakuu wa vitengo toka Idara za Wizara ya Afya na Tamisemi wakisikiliza hotuba ya ufunguzi ya mgeni rasmi(hayupo puchani), wakati wa Mkutano wa 18 wa mwaka wa mapitio ya utekelezaji na utendaji katika sekta ya afya nchini.


Na WAMJWW. Dsm

Watumishi na wadau wa sekta ya afya nchini wamekumbushwa kuboresha utendaji wao ili nchi kuwa ya uchumi ifakapo mwaka 2025
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt.Mpoki Ulisubisya wakati wa ufunguzi wa mkutano wa 18 wa mwaka wa mapitio ya utendaji wa sekta ya afya.
"wakati Serikali ya awamu ya tano ikisisitiza kuifanya Tanzania kuwa nchi ya uchumi ifikapo 2025 ni lazima kila mmoja wetu akubali kwamba Afya inabaki kuwa  muhimu, katika kufanikisha hili ni vyema kuweka mfumo wa utoaji huduma wenye Maendeleo kuendana na lengo la serikali kutilia mkazo wa uboreshaji wa Afya na kinga iliyosawia ili kila mmoja wetu aweze kushiriki katika shughuli za kijamii na kiuchumi" Alisema Dkt. Mpoki Ulisubisya

Mkutano huu  unawashirikisha watalaam Mbali Mbali,wadau wa Maendeleo, Sekta binafsi,Taasisi za utafiti na vyama vya kijamii.

kauli mbiu ya mkutano huo ni "kwa pamoja tunaweza,vifo vya Akina mama wajawazito havikubaliki"

0 on: "MKUTANO WA 18 WA MWAKA WA MAPITIO YA UTEKEKELEZAJI NA UTENDAJI KATIKA SEKTA YA AFYA"