Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumatatu, 11 Juni 2018

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Mpoki Ulisubisya ameongoza mkutano wa robo mwaka wa kitaalam katika sekta ya Afya.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Mpoki Ulisubisya akiongea na baadhi wadau wa maendeleo,wadau wa sekta ya afya wa Serikali na Binafisi na Wakurugenzi wa vitengo mbalimbali kutoka Wizara ya Afya hawapo pichani wakatri wa Mkutano wa robo mwaka wa kitaalam katika sekta ya afya uliofanyika leo jijini Dar es salaam.




Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Mpoki Ulisubisya akiwakabidhi vyeti watumishi watatu wa Sekretarieti ya pamoja kwa kutambua michango yao kwa kipindi chote cha utumishi wao wakati wa Mkutano wa robo mwaka wa kitaalam katika sekta ya afya uliofanyika leo jijini Dar es salaam.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Mpoki Ulisubisya katikati akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi wadau wa maendeleo,wadau wa sekta ya afya wa Serikali na Binafisi na Wakurugenzi wa vitengo mbalimbali kutoka Wizara ya Afya hawapo pichani wakatri wa Mkutano wa robo mwaka wa kitaalam katika sekta ya afya uliofanyika leo jijini Dar es salaam.



Baadhi wadau wa maendeleo,wadau wa sekta ya afya wa Serikali na Binafsi na Wakurugenzi wa vitengo mbalimbali kutoka Wizara ya Afya wakifuatilia kwa makini maelekezo kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Mpoki Ulisubisya hayupo pichani wakati wa Mkutano wa robo mwaka wa kitaalam katika sekta ya afya uliofanyika leo jijini Dar es salaam.

NA WAMJW


Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Mpoki Ulisubisya ameongoza mkutano wa robo mwaka wa kitaalam katika sekta ya Afya unaowaleta pamoja Serikali ,wadau wa maendeleo,Sekta binafsi na Asasi za kiraia.
Leongo la mkutano huo ni kuangalia utekelezaji wa maazimio ya pamoja na kuandaa mipango mipya ya utekelezaji wa mpango mkakati wa sekta ya afya wanne 2015-2020 kupitia vikundi kazi 11 vya kilaam.
Pia watumishi watatu wa Sekretarieti ya pamoja wametunukiwa vyeti kwa kutambua michango yao kwa kipindi chote cha utumishi wao ambao ni Dkt. Oberlin Kisanga ,Dkt. Anna Nswila na Dkt. Didace Mutagwaba.

0 on: "Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Mpoki Ulisubisya ameongoza mkutano wa robo mwaka wa kitaalam katika sekta ya Afya. "