Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumatano, 20 Juni 2018

PICHA ZA MATUKIO ZA VIONGOZI WA SERIKALI WAKITEMBELEA BANDA LA HJFMRI NA NIMRI-MBEYA


Waziri wa Afya Maendeleo ya jamii , Jinsia , Wazee na Watoto, Mheshimiwa Ummy Mwalimu (wa katikati) akishuka kutoka kwenye gari lenye Clinic inayotoa huduma za TB (Kifua Kikuu) liliopo kwenye banda la HJFMRI kwa kushirikana na NIMR –Mbeya, wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Furaha yangu , iliyozinduliwa na Waziri Mkuu, mheshimiwa Kassim Majaliwa, mjini Dodoma.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akiingia kuangalia huduma za TB (Kifua Kikuu) zinazotolewa na HJFMRI kwa kushirikiana na NIMR-Mbeya , wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Furaha Yangu iliyozinduliwa mjini Dodoma.


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akipata maelekezo kutoka kwa mtaalamu katika Banada la HJFMRI kwa kushirikana na NIMR –Mbeya, wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Furaha yangu.

0 on: "PICHA ZA MATUKIO ZA VIONGOZI WA SERIKALI WAKITEMBELEA BANDA LA HJFMRI NA NIMRI-MBEYA"