Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumatatu, 11 Juni 2018

WAZIRI UMMY AKUTANA NA BALOZI WA JAMHURI YA NCHI YA UTURUKI NA WAKURUGENZI WA TAASISI ZA SERIKALI ZINAZOHUSIANA NA AFYA.

WAZIRI wa afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akiongea na wakurugenzi wa Wakurugenzi Tasisi za Serikali zinazojihusisha na maswala ya afya hapa nchini  hawapo pichani wakati alipokutana na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Uturuki nchini, Mhe.Ali Dovutoglu hayupo pichani 

WAZIRI wa afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu mwenye kiremba cha rangi ya bluu bahari akipitia muongozo wa Sera ya afya wakati alipokutana na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Uturuki nchini, Mhe.Ali Dovutoglu kushoto kwake ni Naibu Waziri wa afya Dkt. Faustine Ndugulile .

WAZIRI wa afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akijadili jambo na Naibu wake Dkt. Faustine Ndugulile  wakati alipokutana na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Uturuki nchini, Mhe.Ali Dovutoglu .

NA WAMJW
WAZIRI wa afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amekutanana Balozi Mteule wa Jamhuri ya Uturuki nchini, Mhe.Ali Dovutoglu kujadili maswala mbalimbali ya kuboresha sekta ya afya nchini ikiwemo kubadilishana wataalam pamoja na Wakurugenzi Tasisi za Serikali zinazojihusisha na maswala ya afya hapa nchini  leo jijini Dar es salaam.

0 on: "WAZIRI UMMY AKUTANA NA BALOZI WA JAMHURI YA NCHI YA UTURUKI NA WAKURUGENZI WA TAASISI ZA SERIKALI ZINAZOHUSIANA NA AFYA."