Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Alhamisi, 7 Juni 2018

MKUTANO WA MWAKA WA KUPITIA,KUJADILI NA KUPANGA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA TAIFA WA KUDHIBITI MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE YAFIKIA TAMATI LEO.

Mkurugenzi wa Huduma za Kinga Wizara ya Afya ,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Leonard Subi akiongea na wadau mbalimbali wa sekta ya afya hawapo pichani kuhusu kinga tiba za magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele wakati wa kufunga mkutano wa mwaka wa kupitia,kujadili na kupanga utekelezaji wa mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa hay oleo jijini Dar es salaam.

Mkurugenzi wa Huduma za Kinga Wizara ya Afya ,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Leonard Subi kulia akifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zinatolewa na wadau mbalimbali wa sekta ya afya hawapo pichani wakati wa kufunga mkutano wa mwaka wa kupitia,kujadili na kupanga utekelezaji wa mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mratibu wa Taifa wa mpango wa kutokomeza magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele nchini Dkt. Upendo Mwingira.

Mratibu wa Taifa wa mpango wa kutokomeza magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele nchini Dkt. Upendo Mwingira akiongea na wadau mbalimbali wa sekta ya afya hawapo pichani kuhusu kinga tiba za magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele wakati wa kufunga mkutano wa mwaka wa kupitia,kujadili na kupanga utekelezaji wa mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa hay oleo jijini Dar es salaam.



Wadau mbalimbali wa sekta ya afya kwa upande wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele wakifuatilia kwa makini hotuba ya  Mkurugenzi wa Huduma za Kinga Wizara ya Afya ,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Leonard Subi hayupo pichani wakati wa kufunga mkutano wa mwaka wa kupitia,kujadili na kupanga utekelezaji wa mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa hayo leo jijini Dar es salaam.

 Na WAMJW-DSM
Mkutano wa mwaka wa kupitia,kujadili na kupanga utekelezaji wa mpango wa taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele yamefikia tamati leo jijini Dar es salaam ambapo wadau mbalimbali wa sekta ya afya wanaoshughulika na magonjwa hayo wamekutana na kutoka na njia mbalimbali za kupambana na magonjwa hayo ambapo tamati yake itafikia Juni 8 mwaka huu kwa kutembelea Kambi ya kufanyia upasuaji wa matende na mabusha iliyopo Kisarawe Mkoani Pwani.

0 on: "MKUTANO WA MWAKA WA KUPITIA,KUJADILI NA KUPANGA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA TAIFA WA KUDHIBITI MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE YAFIKIA TAMATI LEO."