Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumatano, 31 Oktoba 2018

SERIKALI YARAHISISHA UKUSANYAJI WA TAKWIMU ZA VIFO VINAVYOTOKEA KATIKA NGAZI YA JAMII NCHINI.

- Hakuna maoni

Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendelo ya jamii,Jinsia,Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Afya) Dkt. Mpoki  Ulisubisya akiongea na baadhi ya Wakurugenzi wa halmashauri mbalimbali na Maafisa Afya mkoani Iringa wakati wa kukabidhi Kompyuta Kibao ( Tablets)...

WANANCHI WAMETAKIWA KUBADILI MFUMO WA MAISHA NA KUZINGATIA LISHE BORA

- Hakuna maoni

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akinawa mikono baada ya Uzinduzi wa Mradi Mkubwa wa Maji  wenye uwezo wa kuzalisha lita za ujazo  Elfu 30 kutoka kijiji cha ...

Jumanne, 30 Oktoba 2018

SERIKALI YAAHIDI KUPELEKA GARI YA WAGONJWA KATIKA HOSPITALI YA WILAYA YA MANYONI

- Hakuna maoni

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile  akikagua cheti cha mgonjwa katika wodi ya akina mama wakati alipotembelea Hospitali ya wilaya ya Manyoni kuona hali ya utoaji huduma za...

Jumatatu, 29 Oktoba 2018

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - TAMKO LA SIKU YA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA UGONJWA WA KIHARUSI (STROKE) DUNIANI, TAREHE 29/10/2018

- Hakuna maoni

bintiz("summary3485152831972994937","TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - TAMKO LA SIKU YA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA UGONJWA WA KIHARUSI (STROKE) DUNIANI, TAREHE 29/10/2018","https://afyablog.moh.go.tz/2018/10/taarifa-kwa-vyombo-vya-habari-tamko-la.html","");...

WAGANGA WAFAWIDHI NCHINI WATAKIWA KUWEKA VIKAO KUJADILI VIFO VYA UZAZI

- Hakuna maoni

Baadhi ya Wakurugenzi wa Idara mbalimbali kutoka Wizara ya Afya wakifuatilia kwa makini mawasilisho kutoka kwa wawezeshaji wa mkutano wa Waganga wafawidhi wakati wa ufunguzi wa mkutano huo uliofanyika jijini Dodoma. Baadhi ya Waganga Wafawidhi kutoka...

Jumatano, 24 Oktoba 2018

IDADI YA WANACHAMA WACHANGIAJI WA MFUKO WA BIMA YA AFYA NCHINI YAONGEZEKA.

- Hakuna maoni

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu (aliyesimama) akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za mfuko huo kwenye kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Bungeni jijini Dodoma....

Jumanne, 23 Oktoba 2018

SERIKALI YAAINISHA DAWA MUHIMU ZINAZOPATIKANA MSD.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akifafanua hali ya upatikanaji wa dawa nchini  kwa wajumbe wa kamati ya Bunge ya Huduma za jamii nchini  hawapo pichani wakati wa kikao cha...

DKT. NDUGULILE AAGIZA WATUMISHI WA AFYA KUZINGATIA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA KATIKA UTENDAJI WAO.

- Hakuna maoni

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akikagua ujenzi wa majengo mapya katika kituo cha afya cha Lupiro wilayani Luanga, Mkoa wa Morogoro. Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya...

Jumatatu, 22 Oktoba 2018

MAAFISA AFYA WATAKIWA KUSIMAMIA USAFI WA MAZINGIRA ILI KUTOKOMEZA MALARIA

- Hakuna maoni

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akisisitiza jambo mbele ya Wabunge wa kamati ya Huduma za Jamii na Wadau wa Masuala ya Afya (hawapo kwenye picha) katika uzinduzi wa...

Ijumaa, 19 Oktoba 2018

DKT. NDUGULILE AAHIDI UJENZI WA HOSPITALI MPYA YA WILAYA YA RUFIJI.

- Hakuna maoni

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akikagua dawa zilizopo katika stoo ya Hospitali ya Utete wilayani Rufiji kuhakikisha kama zina nembo ya serikali wakati wa muendelezo wa ziara...

Jumatano, 17 Oktoba 2018

MARUFUKU MGONJWA KWENDA KUNUNUA DAWA NJE IKIWA DAWA ZIPO

- Hakuna maoni

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile (katikati) akisikiliza maelezo kutoka kwa Fundi msanifu wa wilaya ya Mafia Ramadhan Madenge kuhusiana na mchoro wa kituo cha afya cha Kilongwe....

Page 1 of 102123»