Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumanne, 23 Oktoba 2018

SERIKALI YAAINISHA DAWA MUHIMU ZINAZOPATIKANA MSD.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akifafanua hali ya upatikanaji wa dawa nchini  kwa wajumbe wa kamati ya Bunge ya Huduma za jamii nchini  hawapo pichani wakati wa kikao cha kamati ya hiyo kinachoendelea  katika ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , katikati aliyekaa ni Naibu Waziri wa Afya Dkt. Faustine Ndugulile.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akichangia mada wakati wa kikao cha kamati ya Bunge ya Huduma za jamii nchini kinachoendelea  katika ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , wa kwanza kulia  aliyekaa ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu.

Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Huduma za jamii nchini na Mbunge wa Kigoma Kaskazini Bw. Peter Serukamba akitoa mwongozo kwa wajumbe wa kamati ya Bunge ya Huduma za jamii nchini  wakati wa kikao cha kamati hiyo kinachoendelea  katika ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,wa kwanza kulia ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu.

Katibu Mkuu Wizara ya afya Dkt. Mpoki Ulisubisya aliyesimama  akichangia mada wakati wa kikao cha kamati ya Bunge ya Huduma za jamii nchini kinachoendelea  katika ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , waliokaa kulia ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto  Mhe. Ummy Mwalimu na katikati ni Naibu Waziri wa Afya Dkt. Faustine Ndugulile.

Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Mohammed Bakari Kambi aliyesimama akielezea jambo kwa wajumbe wa kamati ya Bunge ya Huduma za jamii wakati wa kikao cha kamati ya hiyo nchini kinachoendelea  katika ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .

Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa nchini (MSD) Bwa. Laurean Bwanakunu akichangia mada wakati wa kikao cha kamati ya Bunge ya Huduma za jamii nchini kinachoendelea  katika ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyekaa kulia ni Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile.

NA WAMJW, BUNGENI DODOMA


SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imeainisha dawa aina 135 kama dawa muhimu na za kipaumbele cha wizara  kwa lengo la kuhakikisha kuwa zinapatikana  nyakati zote katika bohari zote za kanda za MSD.

Hayo yameelezwa leo na Waziri wa Afya,Maendeleo ya Janii,Jinsia,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wakati  akitoa taarifa ya utendaji ya Bohari Kuu ya Dawa nchini(MSD)  aliyowasilisha katika kamati ya kudumu ya Bunge huduma na maendeleo ya jamii jijini Dodoma.

Waziri Ummy alisema tathimini ya upatikanaji wa dawa hizo  ni wa hadi mwezi Julai 2018  ambapo ni sawa na asilimia 93 hivyo Wizara yake imeitaka MSD kuongeza idadi ya dawa muhimu 177  na kufikia  dawa za kipaumbele 312 ambapo upatikanaji wa dawa hizo ni asilimia 73 kufikia robo mwaka ya kwanza ya mwaka wa fedha 2018/2019.

“Hali ya upatikanaji dawa muhimu  umeimarika kuanzia mwaka 2016/2017  na kufikia asilimia 93 nchi nzima  katika mwaka 2017/2018  na hivyo kuweza kufanikiwa  katika maeneo mengi na kufikisha  dawa moja kwa moja katika vituo  vya kutolea huduma za afya nchi nzima”.Alisema Waziri Ummy Mwalimu.

Aidha, Waziri Ummy alisema MSD imeweza kusambaza dawa moja kwa moja hadi vituo vya kutolea huduma za afya vinavyofikia 5,432 nchi nzima kwa kutumia magari  215 na hivyo kusambaza dawa zenye thamani za shilingi bilionini 600 kwa mwaka kupitia mfumo wa ugavi ulio enea nchi nzima.


Hata hivyo Waziri Ummy amesema kuwa hivi sasa MSD inapeleka dawa mara 6 kwa mwaka na pale kwenye mahitaji ya dharura tofauti na zamani ambapo ilikua inapeleka dawa mara nne kwa mwaka.

Mbali na hayo Waziri Ummy alisema Bohari ya dawa imeendelea kuimarika kifedha katika kipindi cha miaka mitano iliyopita hususan katika mwaka wa fedha 2017/2018 ambapo Serikali iliongeza bajeti ya dawa, vifaa na vifaa tiba  na kuweza kutoa kiasi cha shilingi bilioni 80.1  na kwa mwaka wa bajeti 2018/2019 kwa robo hii ya mwaka imepokea shilingi bilioni 20.

Kwa upande wake Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile amewataka wafamasia wote wa Hospitali na vituo vya afya kupeleka orodha ya dawa  zilizopo kwenye stoo  kwa madaktari  kila mwanzo wa wiki.

“Wafamasia wote wa Hospitali na zahanati za Serikali wanatakiwa kuwapelekea madaktari orodha ya dawa zilizopo kwenye stoo ili kama dawa ya ugonjwa Fulani haipo Daktari awe na uwezo wa kuandika dawa mbadala kwa mgonjwa” amesema Dkt. Ndugulile.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya dawa nchini Bw. Laurean Bwanakunu amesema kuwa katika kuhakikisha upatikanaji wa dawa unadumu nchini wapo katika hatua za mwisho za kukamilisha ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi kujenga kiwanda cha dawa nchini.

“Tunatarajia mpaka kufikia Machi 2019 kukamilisha ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi kujenga kiwanda cha dawa nchini ambapo utafanyika kwa haraka ili kukamilikia mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka 2019” alisema Bw. Bwanakunu.

16 on: "SERIKALI YAAINISHA DAWA MUHIMU ZINAZOPATIKANA MSD."
  1. Some examples embrace; soccer, ice hockey, tennis, boxing, and even mixed martial arts. You can also guess on politics and finish result} of particular occasions such as the Eurovision contest, 카지노 사이트 X Factor and the FIFA World Cup Qatar 2022. The manner by which you place your bets varies depending on the type of|the sort of} sport or sport. We also supply live betting along with our traditional pre-event betting.

    JibuFuta
  2. For everyday wear, choosing denim with a versatile dark wash and a classic straight leg can make outfit planning much easier. The https://empyreclothes.com/empyre-dark-wash-jeans/ feature cotton denim, five pocket styling, reinforced stress points, and a timeless straight leg fit, making them a practical option for pairing with simple shirts, sweaters, or sneakers.

    JibuFuta
  3. Protecting supplies from rain and road exposure is important when transporting essential items, and a practical truck bed cover can help keep cargo secure and dry. The utility of a tri fold aluminum cover is especially useful since it offers quick bed access, tool free installation, weather resistant seals, and support for up to 400 pounds of evenly distributed weight.

    JibuFuta
  4. Keeping fabrics clean is especially useful for pet owners dealing with hair on sofas, carpets, rugs, and car interiors. A reusable option like the https://chomchomco.com/original-chomchom-roller-black/ uses a mechanical rolling system rather than sticky sheets or batteries, with a collection chamber that can be emptied after use. Its compact design also makes it practical for regular cleaning of different fabric surfaces while reducing the need for disposable lint rollers.

    JibuFuta
  5. For children, choosing the right equipment is important when it comes to activities that require movement and coordination, especially cycling and outdoor sports. Secure footwear can help young riders maintain better pedal contact, while features like a Velcro closure make adjustments easier and quicker. The https://fivetenshoesco.com/kids-shoes-freerider-vcs/ also feature a Stealth rubber outsole, padded construction, and durable materials suited to young mountain bike riders.

    JibuFuta
  6. Access to essential medicines depends on reliable systems, but people also need healthy ways to relax after a busy day. For players who enjoy Roblox, Gaming can be more engaging with tools that support Lua and Luau scripts across platforms, including Android, iOS, Windows, and macOS, while regular updates can help maintain compatibility and performance.

    JibuFuta
  7. The availability of essential medicines depends on organized systems and timely access, and the same idea of staying informed applies to everyday responsibilities as well. Drivers in Ajman can check outstanding fines through official channels such as Ajman Police, MOI, or EVG, while paying within 60 days may help secure the stated early payment discount. A useful guide to the checking process and payment options is available through check here.

    JibuFuta
  8. The availability of essential medicines is important for community health, and reliable public transport can make it easier for people to reach healthcare facilities when needed. For regular Abu Dhabi bus users, checking the stored value before travelling can prevent problems at boarding, and Check Hafilat Balance provides guidance on checking the card through options such as the Darb app, official portal, ticket vending machines, and onboard validators.

    JibuFuta
  9. Access to essential medicines is important, and keeping personal banking details updated can also help people stay connected to important financial services when circumstances change. For FAB Ratibi users, the registered mobile number can be updated through the FAB mobile banking app by editing personal details or through online banking under services, with verification required during the process. click here for a simple guide to the available steps.

    JibuFuta
  10. Access to essential medicines also depends on reliable administrative systems that support public services, and the same idea applies to education payroll services where workers need clear access to payment records. For teachers in Hidalgo, https://miportalfone.com.mx/fone-hidalgo/ can help users find guidance on accessing payment information and managing related records online.

    JibuFuta
  11. The availability of essential medicines depends on clear rules and responsible systems, just as employment based immigration relies on careful legal procedures and accurate documentation. The PERM process can involve prevailing wage requirements recruitment records audits and detailed filings, so experienced legal guidance can help employers and applicants avoid unnecessary mistakes. check here for information on immigration law firms and attorney performance data.

    JibuFuta
  12. Access to essential resources often depends on having reliable information and practical ways to use everyday services, and the same idea applies to digital entertainment. For PC users, moviebox download for pc provides information about running the app through Android emulators such as BlueStacks, LDPlayer, or NoxPlayer, with support for larger screen viewing and HD content. The setup details are useful for anyone who prefers watching movies and shows on a computer rather than a mobile device.

    JibuFuta
  13. Thanks for sharing It’s fascinating to see how concepts from microscopy, imaging, and physics fundamentals

    JibuFuta
  14. Broyhill is a well-known name in home furnishings, recognized for combining classic design with practical comfort. Its furniture can add a polished and welcoming feel to bedrooms, living rooms, and dining spaces. Choosing timeless Broyhill pieces is also a simple way to refresh your surroundings while creating a more coordinated, stylish home.

    JibuFuta
  15. The discussion about access to essential services also highlights how important reliable support is for families dealing with everyday needs. For students relying on educational assistance, the April 2026 information notes that deposits were planned in stages according to the beneficiary’s CURP and could be checked through official channels, so Visita el sitio web can be useful for reviewing the payment details. Keeping track of verified dates and deposit status can help families avoid confusion and plan around the support they receive.

    JibuFuta
  16. The focus on improving access to essential medicines also shows why practical household planning matters especially when regular expenses need close attention A simple electricity estimate can help families understand expected costs and manage monthly budgets more carefully using a https://lescobillcheck.pk/bill-calculator.html can make that planning easier

    JibuFuta